JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile
JAPHET MATARRA

@eng_matarra

Father | Mineral Processing Engineer | Human Right Activist| Paralegal | Member @ChademaTz | @ManUtd | @YoungafricansSC
| Boss Himself | StoryTeller | 430'2023

ID: 1281897329923100673

calendar_today11-07-2020 10:25:26

41,41K Tweet

26,26K Takipçi

982 Takip Edilen

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

TOYOTA IST 🔥 🔥 REG" #DER ◾️CC. 1290 ◾️FULL AC 🌧 ◾️SPORT RIMS ◾️ANDROID TV 🖥 🎶 ◾️FULL DOCUMENTS ✅️ BEI - MIL 7.5 IPO DAR (MBEZI) CALL/WHATSAPP-0719542184

TOYOTA IST 🔥 🔥 

REG" #DER

◾️CC. 1290
◾️FULL AC 🌧 
◾️SPORT RIMS
◾️ANDROID TV 🖥 🎶
◾️FULL DOCUMENTS ✅️

BEI - MIL 7.5

IPO DAR (MBEZI)

CALL/WHATSAPP-0719542184
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

TOYOTA IST 🔥 🔥 REG" #BSD ◾️CC. 1290 ◾️FULL AC 🌧 ◾️ENGINE SAFI ◾️GEARBOX SAFI ◾️FULL DOCUMENTS ✅️ MTEJA SERIOUS NIPE OFFA CALL - 0719542184

TOYOTA IST 🔥 🔥 

REG" #BSD

◾️CC. 1290
◾️FULL AC 🌧
◾️ENGINE SAFI
◾️GEARBOX SAFI
◾️FULL DOCUMENTS ✅️

MTEJA SERIOUS NIPE OFFA

CALL - 0719542184
Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

Mtumishi wa Mungu kujisifia vitu, mtindo ghali wa maisha na umaarufu sijui inakaaje. Unapokezana na mama mchungaji kujisifia pesa, idadi ya magari, nyumba mbele ya waumini ambao wengi wao wanakuja kanisani kwa bajaji, wamepanga na wanaunga unga maisha? How does it feel?

𝐌𝐚𝐩𝐨𝐧𝐠𝐚 𝐉𝐨𝐬𝐡𝐮𝐚 III | 𝐐𝐮𝐨𝐭𝐞𝐬 (@mapongajquotes) 's Twitter Profile Photo

The Afrika I want One Passport One stock exchange One currency One army One satellite One language One curriculum One leader king/president One nation one country One people All present countries are provinces! No boarders Just United Afrika Not states (are colonial) FoT

The Afrika I want
One Passport
One stock exchange
One currency
One army
One satellite
One language
One curriculum
One leader king/president 
One nation
one country
One people
All present countries are provinces! 
No boarders
Just United Afrika
Not states (are colonial)

FoT
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

TOYOTA IST 🔥 🔥 REG" #EJQ ◾️CC. 1290 ◾️FULL AC 🌧 ◾️SPORT RIMS ◾️ANDROID TV 🖥 🎶 ◾️FULL DOCUMENTS ✅️ BEI - 13.9M NIKO NAYO 24HRS CALL - 0719542184

TOYOTA IST 🔥 🔥 

REG" #EJQ

◾️CC. 1290
◾️FULL AC 🌧 
◾️SPORT RIMS 
◾️ANDROID TV 🖥 🎶
◾️FULL DOCUMENTS ✅️

BEI - 13.9M

NIKO NAYO 24HRS 

CALL - 0719542184
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

TOYOTA PRADO 🔥 🔥 REG" #BGH ◾️CC. 3000 ◾️FULL AC 🌧 ◾️ENGINE - 1KZ ◾️DIESEL ⛽️ ◾️AUTOMATIC GEAR ◾️ANDROID TV 🖥 🎶 ◾️FULL DOCUMENTS ✅️ BEI 15.5 MILIONI NIKO NAYO 24HRS CALL/WHATSAPP-0719542184

TOYOTA PRADO 🔥 🔥 

REG" #BGH

◾️CC. 3000
◾️FULL AC 🌧 
◾️ENGINE - 1KZ
◾️DIESEL ⛽️
◾️AUTOMATIC GEAR 
◾️ANDROID TV 🖥 🎶 
◾️FULL DOCUMENTS ✅️

BEI 15.5 MILIONI

NIKO NAYO 24HRS 

CALL/WHATSAPP-0719542184
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

NISSAN X-TRAIL 🔥🔥 REG" #EBN ◾️CC. 1990 ◾️FULL AC 🌧 ◾️YEAR 2002 ◾️SPORT RIMS ◾️FULL DOCUMENTS ✅️ BEI - MIL 12.5 IPO DAR CALL - 0719542184

NISSAN X-TRAIL 🔥🔥

REG" #EBN

◾️CC. 1990
◾️FULL AC 🌧 
◾️YEAR 2002
◾️SPORT RIMS 
◾️FULL DOCUMENTS ✅️

BEI - MIL 12.5

IPO DAR

CALL - 0719542184
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Unaposhuhudia chama chako kikifungiwa, viongozi wake kufunguliwa mashtaka, akaunti za chama kufungwa, na wanachama kukamatwa, unajisikia kama wewe binafsi pia unashambuliwa. Ni vigumu kisaikolojia kwenda Lupaso kushangilia Stars inayopewa sifa na wale unaoihisi wamekukandamiza.

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Kushangilia Stars inayotumiwa CCM kama alama ya mafanikio yake kisiasa, huwa najiona nimekubaliana au kuhalalisha vitendo vyake visivyo vya haki. Hata kama najua timu ni ya wananchi wote, si ya chama, propaganda za kisiasa zimekuwa zikifanya ionekane ni ushindi wa chama tawala.

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Kisaikolojia ni kawaida kabisa kupoteza morali ktk mazingira hayo, na wengine tumechagua kususia matukio kama haya kama ishara ya msimamo wetu. Sisemi hivi ili uniige. Afrika Kusini wakati wa apartheid, baadhi ya wananchi waligomea kushangilia timu zao kama msimamo wa kisiasa.

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Politics kills morale! Ukiwapa wananchi hofu kisiasa, ukawagawa kwa ukandamizaji usitegemee wakashangilie. Kenya viwanja vinajaa sbb wana uhuru. Tz kwa matendo ya kisiasa tunayofanyiwa na serikali unapata wp nguvu ya kwenda kushangilia? Sio kila mtu ana moyo huo. Mimi hapana.

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Timu ya taifa ni ya wananchi wote, lakini ukiwagawa wananchi na kuwaumiza, usishangae viwanja vinaonekana vikiwa vitupu. Morali ya kushangilia huanza na heshima ya kisiasa. Michezo haiwezi kufanikiwa katika mazingira ya hofu na ukandamizaji. #NoFreedomNoRecreation

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Kwa jirani, mpira ni sherehe. Kwetu, mpira ni matangazo ya kisiasa. Propaganda haiwezi kujaza viwanja. Ni upendo wa kweli wa wananchi pekee unaweza kufanya hivyo. So, ukiua morali kisiasa, umeua morali ya mpira. Always, Freedom builds Unity, and Unity builds full stadiums.

#BRINGBACKDANIELCHONCHORIO (@manaal_ms) 's Twitter Profile Photo

Kuna nyakati Mungu anatupa mitihani mizito kiasi kwamba imani inaonekana kudhoofika. Lakini kumbuka, tupo duniani ili tujaribiwe, na kila mmoja hupokea mtihani wake kwa sababu ambazo Mungu peke yake anazijua. Daniel, tutavuka na hili kama tulivyovuka mengine mengi, kwa maana

Kuna nyakati Mungu anatupa mitihani mizito kiasi kwamba imani inaonekana kudhoofika. Lakini kumbuka, tupo duniani ili tujaribiwe, na kila mmoja hupokea mtihani wake kwa sababu ambazo Mungu peke yake anazijua. Daniel, tutavuka na hili kama tulivyovuka mengine mengi, kwa maana
JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Kwahiyo vita ya nyuklia ikitokea huko kama kuna wabongo tunarudishwa Tanzania chap halafu hayo mahandaki wanaingia raia wa Uswizi tu? Au ni wote