Wakati wenzake wako wanasoma muda huo (1 usiku), yeye anasaidia familia kupata hela, wanaipeleka nchi wapi? #Tutaelewana
Abraham Kasango George RadioGenoa Yup… profiling… caught a
“ criminal “model citizen ! Yup… poor law breaking individual…
Peter Madeleka Hamna shida, Azory, Ben, Akwilina, na jaribio la TL yote yachunguzwe, tuthamini uhai wa watanzania wote na sio wa kiongozi mmoja mmoja, ningependa kusikia maneno toka kwake akizungumzia miili iliyokuwa inaokotwa baharini pia