Youth Investors Association (@yia_tanzania) 's Twitter Profile
Youth Investors Association

@yia_tanzania

Jumuiya ya Vijana Wawekezaji. Youth-led organization working to Empower a Generation of Opportunity Makers & Investors in 🇹🇿. Register & Join our Community.

ID: 1387821094128783366

linkhttp://www.yia.co.tz calendar_today29-04-2021 17:28:43

1,1K Tweet

938 Takipçi

355 Takip Edilen

BRAYAN A SILAYO (@brayansilayo_) 's Twitter Profile Photo

Kesho Vijana wa Dar es Salaam Wana sehemu moja tu ya Kwenda Kupata madini ya kufungua bongo. Ni kwenye ukumbi wa IFM Function ambapo kutakua na #ChuoTalks2025 hii ni fursa kwako Kujifunza na kuconnect na watu muhimu kwenye safari yako. Kongole Joseph Mramba Kwa Hatua hii

Youth Investors Association (@yia_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Tutakuwa na Bryan Kachocho, mtaalamu wa Software Development, kama mzungumzaji katika CHUO TALKS Kwa vijana wote mnaotamani kuingia kwenye ulimwengu wa teknolojia, ubunifu na uhuru wa kifedha, usikose kupata mafunzo kutoka kwa kijana huyu mwenye uzoefu na maono makubwa.

Tutakuwa na Bryan Kachocho, mtaalamu wa Software Development, kama mzungumzaji katika CHUO TALKS 

Kwa vijana wote mnaotamani kuingia kwenye ulimwengu wa teknolojia, ubunifu na uhuru wa kifedha, usikose kupata mafunzo kutoka kwa kijana huyu mwenye uzoefu na maono makubwa.
CRDB Bank PLC (@crdbbankplc) 's Twitter Profile Photo

Chuo Talk yazikutanisha Youth Investors Association na Benki ya CRDB Benki Swahiba ya vijana, CRDB chini ya kitengo cha CRDB Youth Banking, ilishiriki tukio la Youth Talk lililoandaliwa na YIA lenye lengo la kuwaunganisha vijana kujadili mada muhimu kama usimamizi wa fedha,

Chuo Talk yazikutanisha Youth Investors Association na Benki ya CRDB

Benki Swahiba ya vijana, CRDB chini ya kitengo cha CRDB Youth Banking,  ilishiriki tukio la Youth Talk lililoandaliwa na YIA lenye lengo la kuwaunganisha vijana kujadili mada muhimu kama usimamizi wa fedha,
Youth Investors Association (@yia_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Katika kuadhimisha Siku ya Muungano, Jumuiya ya Vijana Wawekezaji (YIA) tunawatakia Watanzania wote heri na fanaka tunapokumbuka kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar. Heri ya Siku ya Muungano! 🇹🇿

Katika kuadhimisha Siku ya Muungano, Jumuiya ya Vijana Wawekezaji (YIA) tunawatakia Watanzania wote heri na fanaka tunapokumbuka kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar. Heri ya Siku ya Muungano! 🇹🇿
Youth Investors Association (@yia_tanzania) 's Twitter Profile Photo

On this Union Day, Youth Investors Association (YIA) extends heartfelt wishes to all Tanzanians as we commemorate the historic union of Tanganyika and Zanzibar. Happy Union Day! 🇹🇿

Joseph Mramba (@josephmrambatz) 's Twitter Profile Photo

As this year marks the 20th Anniversary of the establishment of China International Youth Exchange Center (CIYEC), it’s my pleasure to join my fellow founding members of International Alliance of Young Entrepreneurs Associations (IAYEA) in celebrating this remarkable milestone.

Tanzania Investment Centre (@investtanzania) 's Twitter Profile Photo

The Tanzania Investment Centre (TIC), in collaboration with the Tanzania High Commission in India and Marketing Assistance and Research Support (MARS), invites you to the Tanzania - India Business Forum, taking place from 13th to 20th July 2025 in Dar es Salaam and Zanzibar.

The Tanzania Investment Centre (TIC), in collaboration with the Tanzania High Commission in India  and Marketing Assistance and Research Support (MARS), invites you to the Tanzania - India Business Forum, taking place from 13th to 20th  July 2025 in Dar es Salaam and Zanzibar.
Youth Investors Association (@yia_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Jumuiya ya Vijana Wawekezaji (YIA) inampongeza Ndg. Gilead John Teri Gilead Teri, Kwa kuteuliwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) Tanzania Investment & Special Zones Authority.

Jumuiya ya Vijana Wawekezaji (YIA) inampongeza Ndg. Gilead John Teri <a href="/GileadTeri/">Gilead Teri</a>, Kwa kuteuliwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) <a href="/InvestTanzania/">Tanzania Investment & Special Zones Authority</a>.