Ybro Mbaraka🤔 (@ybro_m) 's Twitter Profile
Ybro Mbaraka🤔

@ybro_m

ID: 1626429716931706883

calendar_today17-02-2023 03:54:39

162 Tweet

23 Followers

185 Following

THE MESHA (@the_mesha24) 's Twitter Profile Photo

Kuna ile kauli “Maisha ndo aya aya, we tumia PESA ikuzoee” Usiingie kwenye uwo mtego, jamii inakupotosha. Kwanini? Kutafuta pesa kila mtu anaweza, ila shida ni kubaki na iyo pesa, na kuifanya izalishe PESA ingine. Tafuta uthamani, utengeneze PESA, na sio kutafuta.

Nathan Paul S (@fikra_pevu) 's Twitter Profile Photo

Wanaume huwa tunafikiri kupata Mke ni jambo rahisi kwa kuwa Wanawake wametapakaa kila kona wakitaka kuolewa. Tunashindwa kuelewa kuwa, si kila Mwanamke ni Mke.

Paul Clementy (@paulclementy) 's Twitter Profile Photo

SAIKOLOJIA INASEMA "Usionyeshe upendo, mapenzi, au kujali kupita kiasi kwa mtu yeyote, kwa sababu ni hulka ya binadamu kudharau chochote kinachopatikana bila malipo."

Nathan Paul S (@fikra_pevu) 's Twitter Profile Photo

Mtu akifikisha miaka 30 ni mzee,,,, lakini akifa akiwa na miaka 30 ni mdogo.......Usiruhusu mtu akushinikize. Rafiki wa tajiri si tajiri.. bali rafiki wa mwizi ni mwizi. Uwe na hekima💯 C & P

Genious✍️ (@chibelube) 's Twitter Profile Photo

Utafutaji unatufanya tuonekane hatuwajali wala kuwapenda watu wetu wa karibu, Kuna muda inatubidi tuzikubali hizo Lawama ili malengo Yatimie Kwanza.

THE MESHA (@the_mesha24) 's Twitter Profile Photo

Kuna umri ukifika utaanza kukumbuka. •Fursa ulizoziacha kwa kuona AIBU hazitorudi tena •Hakuna aliyekuwa anajali kuhusu wewe •Pesa nyingi ulizozipata na kushindwa kuwekeza hutozipata tena •Muda uliopoteza hauwezi kurudi tena Kama kijana, chukua hatua mapema.