Wiston Andrew Mogha (@wistonmogha) 's Twitter Profile
Wiston Andrew Mogha

@wistonmogha

Baba alitamani niwe mfanyaBiashara mkubwa,Mama alitaka niwe afisa kitengo flani lakini nimechagua kuwa msema hovyo ili niwasemee wote popote bila uoga.#DamuMpya

ID: 521117578

calendar_today11-03-2012 07:58:03

3,3K Tweet

4,4K Takipçi

611 Takip Edilen

Wiston Andrew Mogha (@wistonmogha) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi wa namna gani wewe umejawa dhihaka? Kwani Njia yetu mbadala inakutisha?.. Pole sana, ACT haiko kwa ajili ya wafinyu wa fikra kama wewe . Dhihaka zako hazibadilishi ukweli kwamba chama changu kina misimamo, chenu kina mizengwe. Mbingu na Ardhi 😤

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo ACTWazalendo Ado Shaibu Ado Shaibu amesema chama hicho kipo tayari kuwapokea wanasiasa kutoka vyama vingine na kitawapokea kwa heshima ya hali ya juu pindi watapokuwa tayari kuhamia ACTWazalendo. Akizungumza katika mahojiano

Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

@airtanzania naomba hii ndege TC126 muipeleke service,tukiwa tunakaribia kupaa ndege inatetemeka for almost 7 mnts,haya tukishapaa kelele zilizomo ndani utadhani tumefungua vioo🙄 lastly hivi kweli naambiwa nichague kati croissant na korosho! Please level up on your services.

@airtanzania  naomba hii ndege TC126 muipeleke service,tukiwa tunakaribia kupaa ndege inatetemeka for almost 7 mnts,haya tukishapaa kelele zilizomo ndani utadhani tumefungua vioo🙄 lastly hivi kweli naambiwa nichague kati croissant na korosho! Please level up on your services.
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Sheikh Issa Ponda is a formidable force, bringing undeniable influence to the opposition. Nimefurahia uamuzi wake👏🏽👏🏽

Wiston Andrew Mogha (@wistonmogha) 's Twitter Profile Photo

Mwana ayu wetu Elo wetu Mwana ayu wetu Elo wetu Shikamoo Marahaba Shikamoo Marahaba Linda nikapwame makweedo “Ntwara kuchele”