Reyna_Farm_company ██████𝟏𝟗𝟗𝟕 ; Kwaiyo reyna!
Reyna_Farm_company. ; Abee
██████𝟏𝟗𝟗𝟕 ; Ukiwekewa hapa ng'ombe, na pale mercedes benz, unachagua nini?!?
Reyna_Farm_company ;Nachagua ng'ombe..
██████𝟏𝟗𝟗𝟕 ;😳
TANZANIA BUSES NATION Mmiliki halali wa hizi chuma TAHMEED ni raia wa wapi?? Au ni nani.
Jr ni mkenya?
██████𝟏𝟗𝟗𝟕 Ile barabara ya kutokea mombo mpaka Soni, Lushoto naskia ni mjerumani alooh ni Fundi sana
██████𝟏𝟗𝟗𝟕 Aina Julius Elias (G) Musingi Kenny mpo sahihi lakini wote hatuwezi kupitia njia moja. Kwa mfano watu wote tudoptuanze kuuza unga kama huyu dogo unadhani itakuwaje? Dogo aache kutukana wateja na akili zako za kufikiri hazifanani na za ntu mwingine, kunawasomi wengi tu wametoboa kwa kutumia elim na wapo kimya