zuhura yunus (@venusnyota) 's Twitter Profile
zuhura yunus

@venusnyota

Deputy Permanent Secretary, Prime Ministers Office, Ministry of Labour, Youth, Employment & Persons with Disability. Ex-DPC, ex-BBC

@WMKVAW

ID: 126013535

linkhttp://www.kazi.go.tz calendar_today24-03-2010 15:27:04

29,29K Tweet

245,245K Followers

480 Following

Mufti Menk (@muftimenk) 's Twitter Profile Photo

At times, we condemn good people because we disagree with them over a few issues. We refuse to see the good they’re doing. Disagreements do not automatically make a person extreme, bad or evil. Learn to distinguish between the one who respectfully disagrees & the one who is evil!

Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amefungua Kongamano maalum la Wafanyakazi kuelekea siku ya Wafanyakaazi Duniani, Aprili 28, 2025 Mkoani Singida.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,  Mhe. Ridhiwani Kikwete amefungua Kongamano maalum la Wafanyakazi kuelekea siku ya Wafanyakaazi Duniani,  Aprili 28, 2025 Mkoani Singida.
Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Usalama na Afya kwa Mwaka 2025 katika ukumbi wa Bishop Romwa, Mkoani Singida Aprili 29, 2025.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Usalama na Afya kwa Mwaka 2025 katika ukumbi wa Bishop Romwa, Mkoani Singida Aprili 29, 2025.
Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

Viongozi na wageni mbalimbali wakiwa wameshiriki katika ukumbi wa Bishop Romwa kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo za Usalama na Afya kwa Mwaka 2025 inayofanyika Mkoani Singida leo tarehe 29 Aprili, 2025.

Viongozi na wageni mbalimbali wakiwa wameshiriki katika ukumbi wa Bishop Romwa kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo za Usalama na Afya kwa Mwaka 2025 inayofanyika Mkoani Singida leo tarehe 29 Aprili, 2025.
Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU Mhe.Ridhiwani Kikwete akikabidhiwa Tuzo ya mwaka ya Balozi wa OSHA na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU Mary Maganga katika hafla ya kukabidhi tuzo za Usalama na Afya Mahali Pa Kazi kwa Mwaka 2025, Aprili 29, 2025 Mkoani Singida.

Waziri wa Nchi <a href="/WMKVAU/">Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU</a> Mhe.Ridhiwani Kikwete akikabidhiwa  Tuzo ya mwaka ya Balozi wa OSHA na  Katibu Mkuu  wa <a href="/WMKVAU/">Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU</a> Mary Maganga katika hafla ya kukabidhi tuzo za Usalama na Afya Mahali Pa Kazi kwa Mwaka 2025,  Aprili 29, 2025 Mkoani Singida.
Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU Mary Maganga akiwakabidhi wadau wa Sekta binafsi na umma Tuzo za kuzingatia masuala ya Usalama na Afya mahali pa Kazi katika hafla ya kukabidhi tuzo za Usalama na Afya Mahali Pa Kazi kwa Mwaka 2025, Aprili 29, 2025 Mkoani Singida.

Katibu Mkuu  <a href="/WMKVAU/">Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU</a> Mary Maganga akiwakabidhi wadau wa Sekta binafsi na umma Tuzo za kuzingatia masuala ya  Usalama na Afya mahali pa Kazi  katika hafla ya kukabidhi tuzo za Usalama na Afya Mahali Pa Kazi kwa Mwaka 2025,  Aprili 29, 2025 Mkoani Singida.
Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

Naibu Katibu Mkuu@ WMKVAU Zuhura Yunus akiwakabidhi wadau wa Sekta binafsi na umma Tuzo za kuzingatia masuala ya Afya na Usalama mahali pa Kazi katika hafla ya kukabidhi tuzo za Usalama na Afya Mahali Pa Kazi kwa Mwaka 2025, Aprili 29, 2025 Mkoani Singida.

Naibu Katibu Mkuu@ WMKVAU  Zuhura Yunus akiwakabidhi wadau wa Sekta binafsi na umma Tuzo za kuzingatia masuala ya Afya na Usalama mahali pa Kazi  katika hafla ya kukabidhi tuzo za Usalama na Afya Mahali Pa Kazi kwa Mwaka 2025,  Aprili 29, 2025 Mkoani Singida.
Mukoma Wa Ngugi (@mukomawangugi) 's Twitter Profile Photo

It tears my heart to say that my father, Ngugi Wa Thiong'o passed away earlier today. I am me because of him in so many ways, as his child, scholar and writer. I love him - I am not sure what tomorrow will bring without him here. I think that is all I have to say for now.

It tears my heart to say that my father, Ngugi Wa Thiong'o passed away earlier today. I am me because of him in so many ways, as his child, scholar and writer. I love him - I am not sure what tomorrow will bring without him here.  I think that is all I have to say for now.
Ofisi ya Waziri Mkuu - KVAU (@wmkvau) 's Twitter Profile Photo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 13, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uelewa kuhusu Ualbino yanayofanyika katika uwanja wa Mwanga Centre, mkoani Kigoma. 📌KIGOMA 13.06.2025

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 13, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uelewa kuhusu Ualbino yanayofanyika katika uwanja wa Mwanga Centre, mkoani Kigoma.
📌KIGOMA

13.06.2025
Mark J. Mwandosya (@markmwandosya) 's Twitter Profile Photo

The book, LIVING WITH CANCER: DIARIES OF A MULTIPLE MYELOMA PATIENT by Mark J. Mwandosya Is now available in #Nairobi, #Kenya: SomaNamiBooks The Greenhouse Mall, Suite 12, Ngong Rd; and, Coricom House,33 Ngara Rd,Ngara (Opp Chief's Camp) +254 705 548 052 #MultipleMyeloma #Cancer

The book, LIVING WITH CANCER: DIARIES OF A MULTIPLE MYELOMA PATIENT by <a href="/MarkMwandosya/">Mark J. Mwandosya</a>
 Is now available in #Nairobi, #Kenya:
<a href="/SomaNamiBooks/">SomaNamiBooks</a>
The Greenhouse Mall, Suite 12, Ngong Rd; and,
Coricom House,33 Ngara Rd,Ngara (Opp Chief's Camp)
+254 705 548 052
#MultipleMyeloma 
#Cancer