
URT Updates
@urtupdates
Updates from the United Republic of Tanzania #URTUpdates
ID: 1698962981466275840
05-09-2023 07:35:22
6,6K Tweet
678 Takipçi
751 Takip Edilen

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Maendeleo wa Denmark Mhe. Elsebeth Søndergaard Krone, mazungumzo yaliyofanyika kando ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika Jijini Sevilla. Denmark MFA 🇩🇰



ASANTENI WANA RUANGWA -MAJALIWA WAZIRI MKUU, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa Majaliwa Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa miaka 15. Akizungumza na wajumbe wa kamati ya Siasa ya Mkoa na Wilaya ya


Kwa miaka 21 mfululizo, yetu Cathy na shirika lake Friends Together wamekuwa wakija Tanzania kupitia Zara Tanzania Adventures Zara Tanzania Adventures kwa lengo la kusaidia wanawake wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU) — akiwa mmojawapo, akiishi na VVU kwa zaidi ya miaka 40. 💛 Kupitia kazi


Kwa miaka 21 mfululizo, Dada Cathy na shirika lake Friends Together wamekuwa wakija Tanzania kupitia Zara Tanzania Adventures Zara Tanzania Adventures kwa lengo la kusaidia wanawake wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU) — akiwa mmojawapo, akiishi na VVU kwa zaidi ya miaka 40. 💛 Kupitia kazi



Ayoub Alexander mtumishi kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la visitngorongoro (NCAA) ni mmoja wa washiriki wa Msafara wa Twende Butiama ulioanza leo tarehe 3 hadi 13 Julai, 2025. Lengo la Msafara huo wa kusafiri kutumia Baiskeli ni kumuenzi kwa Vitendo Baba wa Taifa Mwalimu


SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UFANYAJI BIASHARA-MAJALIWA Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara za huduma za kifedha ili kuvutia uwekezaji wa ndani na nje kwa kuwa maendeleo endelevu ya taifa


On 3rd July 2025, Hon. mahmoud Kombo, Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation engaged in high-level discussions with the African Group of Ambassadors and High Commissioners accreditated to Tanzania (Diplomatic Group - ADG). The discussions focused on further


DKT. KIJAJI AZINDUA CHANJO YA MIFUGO NGORONGORO. Na Mwandishi Wetu, NCAA. Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. DR. ASHATU KIJAJI (Mb) amezindua zoezi la Chanjo ya Mifugo katika Kijiji cha Mokilal Tarafa ya Ngorongoro Mkoani Arusha ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa


Karibu Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro - Kivutio Bora cha Utalii Afrika 2025! ujionee maajabu ya mchanga unaohama (shifting sands). TRT Afrika TRT World Now UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳 TRT Global Communications RT visitngorongoro #unforgettableexperiences #shiftingsands

MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA WCF Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa Julai 04, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katik maadhimisho ya miaka kumi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa amesema kuwa huduma za fidia kwa wafanyakazi si suala la hiari bali ni haki ya msingi ya mfanyakazi, inayopaswa kulindwa, kuendelezwa na kusimamiwa kwa weledi na uwajibikaji wa hali ya juu. Amesema kuwa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita




