Tanzania Community Networks Alliance (@tz_cna) 's Twitter Profile
Tanzania Community Networks Alliance

@tz_cna

tzCNA believe that the use of community-based bottom-up approaches is among the feasible solution to address the digital divide.

ID: 1295940591608627202

linkhttps://tzcna.or.tz/ calendar_today19-08-2020 04:29:42

4,4K Tweet

1,1K Takipçi

2,2K Takip Edilen

Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

📍Unguja, Zanzibar Nikiwa Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Kiswahili la Taifa - BAKITA nilishiriki kwenye kilele cha maadhimisho ya aiku ya Kiswahi visiwani Unguja,Zanzibar. Ilikuwa siku ya kutafakari, kujifunza, na kupokea maelekezo ya utekelezaji kuhusu namna bora ya kuendeleza lugha yetu adhimu ya Kiswahili

📍Unguja, Zanzibar

Nikiwa Mjumbe wa Bodi ya <a href="/bakita_tz/">Baraza la Kiswahili la Taifa - BAKITA</a> nilishiriki kwenye kilele cha maadhimisho ya aiku ya Kiswahi visiwani Unguja,Zanzibar. Ilikuwa siku ya kutafakari, kujifunza, na kupokea maelekezo ya utekelezaji kuhusu namna bora ya kuendeleza lugha yetu adhimu ya Kiswahili
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

📍Unguja, Zanzibar Katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahiki, BAKITA na BAKIZA, wametambua rasmi kwa heshima kubwa mchango wa Bw. Nyambari Nyang’wine katika maendeleo ya Kiswahili ndani na nje ya Tanzania. Kupitia machapisho na kazi zake, amekuwa chachu ya maendeleo ya lugha yetu.

📍Unguja, Zanzibar

Katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahiki, BAKITA na BAKIZA, wametambua rasmi kwa heshima kubwa mchango wa Bw. Nyambari Nyang’wine katika maendeleo ya Kiswahili ndani na nje ya Tanzania. Kupitia machapisho na kazi zake, amekuwa chachu ya maendeleo ya lugha yetu.
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

📍Dar es Salaam, Tanzania Kama uko Viwanja vya Sabasaba (Dar es Salaam), usikose kutembelea banda letu la Baraza la Kiswahili la Taifa - BAKITA. Kuna mengi ya kujifunza na kushuhudia kuhusu hatma ya Kiswahili kama lugha ya maarifa na maendeleo. Tujivunie Kiswahili Chetu, Tukiendeleze kwa vitendo!

📍Dar es Salaam, Tanzania

Kama uko Viwanja vya Sabasaba (Dar es Salaam), usikose kutembelea banda letu la <a href="/bakita_tz/">Baraza la Kiswahili la Taifa - BAKITA</a>. Kuna mengi ya kujifunza na kushuhudia kuhusu hatma ya Kiswahili kama lugha ya maarifa na maendeleo.

Tujivunie Kiswahili Chetu, Tukiendeleze kwa vitendo!
The University of Dodoma (@udomtheofficial) 's Twitter Profile Photo

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi Prof. Razack Lokina, leo tarehe 11 Julai, 2025 ametembelea Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa “SabaSaba” 2025, yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Prof. Lokina

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi Prof. Razack Lokina, leo tarehe 11 Julai, 2025 ametembelea  Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa “SabaSaba” 2025, yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Prof. Lokina
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

📍Pemba, Zanzibar 🎓 The University of Dodoma continues to reaffirm its commitment to improving the quality of education in Zanzibar. Our team is currently facilitating an intensive onboarding session with Trainers of Trainers as part of the Zanzibar Improving Quality of Basic Education

📍Pemba, Zanzibar

🎓 <a href="/udomtheofficial/">The University of Dodoma</a> continues to reaffirm its commitment to improving the quality of education in Zanzibar. Our team is currently facilitating an intensive onboarding session with Trainers of Trainers as part of the Zanzibar Improving Quality of Basic Education
KAPETO🇹🇿 (@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

📍Pemba, Zanzibar 🎓 The University of Dodoma (UDOM) continues to reaffirm its commitment to improving the quality of education in Tanzania. Under the leadership of Dr. Lucian Ngeze, our dedicated team (with over 14 technical members) is currently facilitating an intensive

📍Pemba, Zanzibar

🎓 The University of Dodoma (UDOM) continues to reaffirm its commitment to improving the quality of education in Tanzania.

Under the leadership of Dr. Lucian Ngeze, our dedicated team (with over 14 technical members) is currently facilitating an intensive
Wizara ya Afya Zanzibar (@mohznz1) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Mazrui, amesema tuzo ya ‘World Summit on the Information Society (WSIS) iliyotolewa na Umoja wa Mawasiliano Ulimwenguni (ITU) kwa Zanzibar ni ushahidi kuwa juhudi za Serikali ya Zanzibar za kuimarisha afya ya wananchi zinatambuliwa kimataifa.

Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Mazrui, amesema tuzo ya ‘World Summit on the Information Society (WSIS) iliyotolewa na Umoja wa Mawasiliano Ulimwenguni (ITU) kwa Zanzibar ni ushahidi kuwa juhudi za Serikali ya Zanzibar za kuimarisha afya ya wananchi zinatambuliwa kimataifa.
The University of Dodoma (@udomtheofficial) 's Twitter Profile Photo

UDOM MSHINDI WA PILI MAONESHO YA 49 "SABASABA" KUNDI LA TAASISI ZA ELIMU YA JUU Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), kimeibuka Mshindi wa Pili (2) katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa "SABASABA" Kundi la Taasisi za Elimu ya Juu yaliyokuwa yanafanyika jijini Dar es Salaam

UDOM MSHINDI WA PILI MAONESHO YA 49  "SABASABA" KUNDI LA TAASISI ZA ELIMU YA JUU

Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), kimeibuka Mshindi wa Pili (2)  katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa "SABASABA"  Kundi la Taasisi za Elimu ya Juu yaliyokuwa yanafanyika jijini Dar es Salaam
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

UDOM MSHINDI WA PILI MAONESHO YA 49 "SABASABA" KUNDI LA TAASISI ZA ELIMU YA JUU Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), kimeibuka Mshindi wa Pili (2) katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa "SABASABA" Kundi la Taasisi za Elimu ya Juu yaliyokuwa yanafanyika jijini Dar es Salaam.

UDOM MSHINDI WA PILI MAONESHO YA 49  "SABASABA" KUNDI LA TAASISI ZA ELIMU YA JUU

Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), kimeibuka Mshindi wa Pili (2)  katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa "SABASABA"  Kundi la Taasisi za Elimu ya Juu yaliyokuwa yanafanyika jijini Dar es Salaam.
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

Kondoa Community Network Cooperative Society wanapokea wanafunzi wa Industrial Practical Training (IPT). Kama kuna wanafunzi ambaye yuko willing kufanyia kazi Kondoa basi Kondoa Community Network Cooperative Society wako tayari kuwapokea. Wasiliana na Project Manager:0744 102 612

Kondoa Community Network Cooperative Society wanapokea wanafunzi wa Industrial Practical Training (IPT). Kama kuna wanafunzi ambaye yuko willing kufanyia kazi Kondoa basi Kondoa Community Network Cooperative Society wako tayari kuwapokea. Wasiliana na Project Manager:0744 102 612
The University of Dodoma (@udomtheofficial) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka, leo Jumatatu tarehe 21 Julai, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Chuo Kikuu cha Graz cha nchini Austria, wenye lengo la kujadili maendeleo ya mradi wa STEP STUDY, unaotekelezwa na UDOM pamoja

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka, leo Jumatatu tarehe 21 Julai, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Chuo Kikuu cha Graz cha nchini Austria, wenye lengo la kujadili maendeleo ya mradi wa STEP STUDY, unaotekelezwa na UDOM pamoja
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

From connecting on LinkedIn to finally meeting in person at my office at The University of Dodoma. During the visit, I shared our progress and key achievements from our government-funded project on developing an AI-powered self-assessment tool for mental health conditions in Tanzania.

From connecting on LinkedIn to finally meeting in person at my office at <a href="/udomtheofficial/">The University of Dodoma</a>. During the visit, I shared our progress and key achievements from our government-funded project on developing an AI-powered self-assessment tool for mental health conditions in Tanzania.
Canada in Tanzania (@canadatanzania) 's Twitter Profile Photo

🇨🇦🤝🇹🇿 An inspiring visit to explore IDRC-led AI innovations in Tanzania! Hon Sarai witnessed AI in action - live demo of a livestock health platform transforming agriculture. 💡Innovation meets impact. 🔍 What AI solution would you like to see next? #CanadaInTanzania

🇨🇦🤝🇹🇿 An inspiring visit to explore IDRC-led AI innovations in Tanzania!
Hon Sarai witnessed AI in action - live demo of a livestock health platform transforming agriculture.
💡Innovation meets impact.
🔍 What AI solution would you like to see next? 

#CanadaInTanzania
Canada in Tanzania (@canadatanzania) 's Twitter Profile Photo

🇨🇦🤝🇹🇿 Ziara ya kuvutia kuona bunifu wa Akili Mlemba (AI) chini ya IDRC | CRDI hapa 🇹🇿! Mhe. Sarai ashuhudia AI ikifanya kazi – na kuboresha afya ya mifugo na kubadilisha ufugaji. 💡Ubunifu na matokeo. 🔍 Je, ungependa kuona suluhisho gani la AI lijalo? #CanadaInTanzania

🇨🇦🤝🇹🇿 Ziara ya kuvutia kuona bunifu wa Akili Mlemba (AI) chini ya <a href="/IDRC_CRDI/">IDRC | CRDI</a> hapa 🇹🇿!
Mhe. Sarai ashuhudia AI ikifanya kazi – na kuboresha afya ya mifugo na kubadilisha ufugaji.
💡Ubunifu na matokeo.
🔍 Je, ungependa kuona suluhisho gani la AI lijalo?
#CanadaInTanzania
The University of Dodoma (@udomtheofficial) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Mambo ya Nje na Maendeleo ya Kimataifa Mhe. Randeep Sarai amefanya ziara ya kutembelea na kukutana na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo Jumatatu tarehe 21 Julai, 2025. Lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kujadili juu ya mradi matumizi ya Akili Unde (AI) katika

Waziri wa Mambo ya Nje na Maendeleo ya Kimataifa Mhe. Randeep Sarai amefanya ziara ya kutembelea na kukutana na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo Jumatatu tarehe 21 Julai, 2025.  Lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kujadili juu ya mradi matumizi ya Akili Unde (AI) katika
The University of Dodoma (@udomtheofficial) 's Twitter Profile Photo

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Graz cha nchini Austria na Chuo cha Ufundi Arusha, leo tarehe 23 Julai, 2025 wamezindua rasmi mradi wa (Step-Study) wenye lengo la kuboresha mafunzo ya Taaluma ya Ualimu kwenye Shule za Msingi na Vyuo ya Ualimu hapa

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Graz cha nchini Austria na Chuo cha Ufundi Arusha, leo tarehe 23 Julai, 2025 wamezindua rasmi mradi wa (Step-Study) wenye lengo la kuboresha mafunzo ya Taaluma ya Ualimu kwenye Shule za Msingi na Vyuo ya Ualimu hapa
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma, Tanzania Tarehe 25 Julai 2025, historia iliandikwa jijini Dodoma baada ya kufanyika tukio kubwa na la kipekee – uzinduzi rasmi wa RSM Media, chombo kipya cha habari chenye malengo ya kijamii na ubunifu wa hali ya juu. Kwa kweli, “Dodoma ilisimama kwa muda kidogo.”

📍Dodoma, Tanzania

Tarehe 25 Julai 2025, historia iliandikwa jijini Dodoma baada ya kufanyika tukio kubwa na la kipekee – uzinduzi rasmi wa RSM Media, chombo kipya cha habari chenye malengo ya kijamii na ubunifu wa hali ya juu. Kwa kweli, “Dodoma ilisimama kwa muda kidogo.”
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma, Tanzania Beyond the run, it was a reminder of the power of community and collective effort towards creating positive impact. Grateful for the experience and the opportunity to contribute to a cause that matters. ⁦NBCTanzania⁩ ⁦Amref Tanzania

📍Dodoma, Tanzania

Beyond the run, it was a reminder of the power of community and collective effort towards creating positive impact. Grateful for the experience and the opportunity to contribute to a cause that matters.

⁦<a href="/NBCTanzania/">NBCTanzania</a>⁩ 
⁦<a href="/AmrefTanzania/">Amref Tanzania</a>⁩
Dr. Jabhera Matogoro (@dr_matogoro) 's Twitter Profile Photo

I am always learning from you, Big Boss! Your leadership and vision continue to inspire me every day Neema Mduma, PhD. We are truly proud to be working alongside IDRC | CRDI, Artificial Intelligence for Development, and Foreign, Commonwealth & Development Office through AfriAI Lab in advancing Responsible AI for sustainable development in Africa.