TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile
TV47

@tv47news

Kenya's fastest-growing 24-hour TV- The home of untold stories.Gotv (Chan 20), DStv (Chan 268), SIGNET, BAMBA and ZUKU. Live on tv47.digital

ID: 1613689206529818628

linkhttps://www.tv47.digital/ calendar_today13-01-2023 00:07:57

57,57K Tweet

28,28K Followers

0 Following

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

Jiunge nao mbunge wa Kesses Julius Ruto na mawakili Charles Nguna na Ken Echesa watakao kuwa wakijadili 'mustakabali wa taifa' huku nahodha akiwa 'Lizah Mutuku' kwenye #UkumbiwaSiasa lizah mutuku

Jiunge nao mbunge wa Kesses Julius Ruto na mawakili Charles Nguna na Ken Echesa watakao kuwa wakijadili 'mustakabali wa taifa' huku nahodha akiwa 'Lizah Mutuku' kwenye #UkumbiwaSiasa <a href="/l_lizah/">lizah mutuku</a>
TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

Hayawani asiye soni Bungoma Hali ya huzuni imetanda katika kijiji cha Chebukaka eneobunge la Kabuchai kaunti ya Bungoma,baada ya mwanamke mwenye umri wa miaka 47 kwa jina Beatrice akwenda kuuliwa kwa kudungwa visu na mumewe. #TV47News lizah mutuku

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

Watahinwa wa KCSE kupokea 'Maisha Card' Watahini wa mtihani wa KCSE mwaka huu ambao umeanza rasmi leo watapokea kadi mpya za usajili zinazofahimika kama Maisha Card kabla ya mtihani huo kukamilika. #TV47News lizah mutuku

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

Janga la sumu ya chuma Takriban watu milioni moja hufa duniani kila mwaka kutokana na sumu ya madini ya risasi ya chuma. Madini ya risasi ni chuma chenye sumu kali ambayo yamekuwa yakitumika kawaida katika bidhaa nyingi kama rangi, risasi ya 'kuchomelea', betri, shaba, radieta za

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

MKU yahamasisha wanafunzi Wanafunzi wa chuo kikuu cha Mount Kenya pamoja na wale wa Equip Africa tawi la Kisii wamefanya ziara katika kaunti ndogo ya suba kusini kaunti ya homabay kutoa uhamasisho kwa mtoto wa kike ambaye anakabiliwa na changamoto tele.

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

Dimba la dunia la Fifa U-17 Dimba la soka la dunia la wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17, linaendelea nchini Dominican Republic na Kenya haijashinda mechi yeyote kati ya 2 ambazo wamecheza, na sasa kibarua cha mwisho kikiwa ni kushindi dhidi ya Mexico ambao pia hawajashinda

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

"Kwa maoni yangu mashtaka ya Gachagua hayakufika vigezo vinazohitajika kubanduliwa ofisini."- Charles Omanga (Wakili) #UkumbiwaSiasa lizah mutuku

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

"Haifai tuwe na manaibu wa rais wawili, viongozi wa kanisa waliwaomba waridhiane kabla ya mchakato wa kumbandua Gachagua."- Charles Omanga (Wakili) #UkumbiwaSiasa lizah mutuku

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

The first Africa schools of government conference conference was held at the Kenya School of Governance in Mombasa. #TV47News

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

A section of students from MKU and Equip Africa have donated sanitary towels to GOT Kombuto Primary School. #TV47News

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

Protests and running battles rock Runyenjes as bodaboda riders demand justice for their fellow rider named 'Mamba' who was killed by his wife's ex boyfriend

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

"Judiciary has no business stopping government from discharging its mandate."- Barnabas Boit (Political Analyst) #PeoplesCourt

TV47 (@tv47news) 's Twitter Profile Photo

"It is a daunting task to overturn an impeachment. It will take him (Gachagua) years."- Barnabas Boit (Political Analyst) #PeoplesCourt