Tuzo Nyerere (@tuzonyerere) 's Twitter Profile
Tuzo Nyerere

@tuzonyerere

Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inayotolewa na @wizara_elimuTz kupitia @TIE_Tanzania ili kukuza uandishi bunifu Tanzania. #TuzoNyerere

ID: 1567530031076745218

calendar_today07-09-2022 15:07:48

643 Tweet

413 Followers

87 Following

Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Kuna wakati wa kushangilia na kufurahia ushindi wako; na kuna wakati wa kushangilia na kufurahia ushindi wa wenzako. Pichani ni Mshairi Arshad Ali na mimi tukishangilia na kufurahia ushindi wa bingwa wetu Adil Ali. Allah amjaliye ndugu yangu na akuze zaidi kipaji chake.

Kuna wakati wa kushangilia na kufurahia ushindi wako; na kuna wakati wa kushangilia na kufurahia ushindi wa wenzako.

Pichani ni Mshairi Arshad Ali  na mimi tukishangilia na kufurahia ushindi wa bingwa wetu Adil Ali.

Allah amjaliye ndugu yangu na akuze zaidi kipaji chake.
Tuzo Nyerere (@tuzonyerere) 's Twitter Profile Photo

Pongezi kwa washindi wa 1: Riwaya - Maundu Mwingizi, Jeneza la Taifa Ushairi - Hussein Kondo Abdallah, Diwani ya Urathi wa Mjumu Hadithi za Watoto - Tune Shaaban Salim, Maziwa Ya Kuku Tamthiliya - Tyatawelu Emmanuel Kingu, Alama ya Kuzaliwa Kongole 🎉 #TuzoNyerere

Pongezi kwa washindi wa 1:
Riwaya - Maundu Mwingizi, Jeneza la Taifa
Ushairi - Hussein Kondo Abdallah, Diwani ya Urathi wa Mjumu
Hadithi za Watoto - Tune Shaaban Salim, Maziwa Ya Kuku
Tamthiliya - Tyatawelu Emmanuel Kingu, Alama ya Kuzaliwa

 Kongole 🎉
#TuzoNyerere
BEM (@magesawambura02) 's Twitter Profile Photo

Ndugu LUBANGO alianza kushinda tuzo ya Safal Cornel kupitia Riwaya ya Bweni la Wasichana. Mwaka huu Riwaya yake nyingine ya Bweni la Wavulana nayo imeshinda tuzo ya Nyerere. Hongereka Mkuu. Andika sasa na Hosteli za Wanachuo 😂.

Ndugu <a href="/LucasLubango/">LUBANGO</a> alianza kushinda tuzo ya Safal Cornel kupitia Riwaya ya Bweni la Wasichana. Mwaka huu Riwaya yake nyingine ya Bweni la Wavulana nayo imeshinda tuzo ya Nyerere. Hongereka Mkuu. Andika sasa na Hosteli za Wanachuo 😂.
LUBANGO (@lucaslubango) 's Twitter Profile Photo

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa ushindi huu mkubwa kwangu nafasi ya 3 Riwaya ya Bweni la Wavulana Tuzo Nyerere 2025. Pongezi kwa washiriki wengine.

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa ushindi huu mkubwa kwangu nafasi ya 3 Riwaya ya Bweni la Wavulana <a href="/tuzonyerere/">Tuzo Nyerere</a> 2025. Pongezi kwa washiriki wengine.
UWAVITA (@uwavita) 's Twitter Profile Photo

Matukio: Mwenyekiti wa UWAVITA Cde Anna Meleiya Mbise akikabidhi fulana ya UWAVITA kwa Prof. Penina Mlama katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025. Tuzo Nyerere Taasisi ya Elimu Tanzania

Matukio: Mwenyekiti wa UWAVITA Cde Anna Meleiya Mbise akikabidhi fulana ya UWAVITA kwa Prof. Penina Mlama katika Usiku wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2025.
<a href="/tuzonyerere/">Tuzo Nyerere</a> <a href="/TIE_Tanzania/">Taasisi ya Elimu Tanzania</a>
UWARIDI (@uwaridiofficial) 's Twitter Profile Photo

KALAMU TATU NDANI YA PICHA MOJA. Wachawi wa maneno walioliteka jukwaa la Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere kwa miaka mitatu mfululizo na kuliangaza anga la uandishi bunifu wa Tanzania! Maundu Mwingizi Laura Pettie Hamisi Kibari Tuzo Nyerere

KALAMU TATU NDANI YA PICHA MOJA. 
Wachawi wa maneno walioliteka jukwaa la Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere kwa miaka mitatu mfululizo na kuliangaza anga la uandishi bunifu wa Tanzania!

<a href="/MaunduMwingizi/">Maundu Mwingizi</a> <a href="/Laurapettie/">Laura Pettie</a> <a href="/HamisiKibari/">Hamisi Kibari</a> <a href="/tuzonyerere/">Tuzo Nyerere</a>
LUBANGO (@lucaslubango) 's Twitter Profile Photo

Kwa uweza wa Mungu tunashinda na zaidi ya kushinda. Ni neema kubwa mno kuwa katika orodha ya Waandishi Bora Kitaifa kwa mwaka 2025.