T5 generation👊 (@t5generation) 's Twitter Profile
T5 generation👊

@t5generation

ID: 1715783861978767360

calendar_today21-10-2023 17:35:55

156,156K Tweet

13,13K Takipçi

9,9K Takip Edilen

MpembA (@iammpemba) 's Twitter Profile Photo

Wakenya wakiongea kiswahili wanakuwa na accent inachekesha mbaya,Nimekuta clip za content creator flani utacheka mbaya Nimekusogezea baadhi ya video zake Video Thread

Wakenya wakiongea kiswahili wanakuwa na accent inachekesha mbaya,Nimekuta clip za content creator flani utacheka mbaya

Nimekusogezea baadhi ya video zake

Video Thread
ELIAS🦁 (@eliaskaneke) 's Twitter Profile Photo

🧠🧠UKOMBOZI WA FIKRA(KIUCHUMI) ✍️✍️Kujikomboa kiuchumi hakuanzi kwa pesa mkononi, bali kunaanzia katika ubongo wako – yaani jinsi unavyofikiri, kuamini na kufanya maamuzi. 🔑 Hapa kuna mambo muhimu ya kiakili yanayoleta mabadiliko ya kifedha✊ Fuatana nami ktk Uzi huu🧵👇

🧠🧠UKOMBOZI WA FIKRA(KIUCHUMI)

    ✍️✍️Kujikomboa kiuchumi hakuanzi kwa pesa mkononi, bali kunaanzia katika ubongo wako – yaani jinsi unavyofikiri, kuamini na kufanya maamuzi.

🔑 Hapa kuna mambo muhimu ya kiakili yanayoleta mabadiliko ya kifedha✊

Fuatana nami ktk Uzi huu🧵👇
Eng.Benjamin (@nyalut23) 's Twitter Profile Photo

CONTEMPORARY HOUSE 3 BEDROOM 🏡 DETAILS 1. 3 Bedroom (1Master, 2Plain) 2. Sitting room 3. Dining 4. Kitchen 5. Public toilet Bati 48 Block 3200 👇👇👇 View our catalog on WhatsApp: wa.me/c/255746122023 ✍️NB: Haina hajanya kuogopa inamwaga maji side moja. No kuvuja

CONTEMPORARY HOUSE 3 BEDROOM 🏡 

DETAILS
1. 3 Bedroom (1Master, 2Plain)
2. Sitting room 
3. Dining 
4. Kitchen
5. Public toilet 
Bati 48
Block 3200
👇👇👇
View our catalog on WhatsApp: wa.me/c/255746122023

✍️NB: Haina hajanya kuogopa inamwaga maji side moja. No kuvuja
𝐔𝐃-𝐁𝐎𝐘 (@udsm_finest) 's Twitter Profile Photo

Mambo 10 ya Kuzingatia ili kuwa na Ghetto lako Kuanza ghetto si tu kupata chumba cha kupanga, bali ni hatua ya kuanza maisha mapya yenye heshima na mipangilio. Ili kuishi vizuri na kuepuka misingi mibovu, zingatia haya: Uzi 🧵 1. Tathmini Kipato Chako

Mambo 10 ya Kuzingatia ili kuwa na Ghetto lako 

Kuanza ghetto si tu kupata chumba cha kupanga, bali ni hatua ya kuanza maisha mapya yenye heshima na mipangilio.

 Ili kuishi vizuri na kuepuka misingi mibovu, zingatia haya:

Uzi 🧵

1. Tathmini Kipato Chako
SECURE ESTATES AND PROPERTIES LTD (@secure_estates) 's Twitter Profile Photo

🛡️ USINUNUE KWANZA! JUA KAMA ENEO LINAMGOGORO AU LA! Unatafuta kununua kiwanja au nyumba? Kumbuka: si kila linalouzwa ni salama kisheria. Kabla hujatoa hela yako: ✅ Hakikisha kuna *hati halali* ✅ Fanya *uhakiki wa wamiliki halali* ✅ Chunguza kama kuna mgogoro wa

🛡️ USINUNUE KWANZA! JUA KAMA ENEO LINAMGOGORO AU LA!

Unatafuta kununua kiwanja au nyumba? Kumbuka: si kila linalouzwa ni salama kisheria. Kabla hujatoa hela yako:  
✅ Hakikisha kuna *hati halali*  
✅ Fanya *uhakiki wa wamiliki halali*  
✅ Chunguza kama kuna mgogoro wa
𝗣 𝗔 𝗕 𝗟 𝗢 🦁 (@kingpablotz) 's Twitter Profile Photo

Nipo kwa daladala Jamaa ghafla kakunja sura huku anang'ata meno kwa hasira na maumivu nikafikiri ana kifafa, kumbe alimpa Manchester City Over 0.5.

CARGO⭐🌍 (@cargo_1911) 's Twitter Profile Photo

Wakubwa Naomba Repost 🎯📍 Weekend Hii hakuna Kupoa,Hapa kuna Maokoto Chukua Mkeka👇⬇️ ➡️Odds 2 ➡️Code KHNR7 ➡️Stake 5.5M💸 🌍Company Spin Better 🔴Zima VPN unapojisajili JISAJILI SASA🔥👇 Web 🎯 redirspinner.com/2tRs?p=%2Fregi… App 🎯 redirspinner.com/2tRs?p=%2Fregi… Promo code👉Amina

Wakubwa Naomba Repost 🎯📍

Weekend Hii hakuna Kupoa,Hapa kuna  Maokoto Chukua Mkeka👇⬇️

➡️Odds 2
➡️Code KHNR7
➡️Stake 5.5M💸

🌍Company Spin Better 
🔴Zima VPN unapojisajili 

JISAJILI SASA🔥👇
Web 🎯 redirspinner.com/2tRs?p=%2Fregi…

App 🎯 redirspinner.com/2tRs?p=%2Fregi…

Promo code👉Amina
𝗙𝗜𝗥𝗔𝗨𝗡𝗜 🍆🍑 🔞💋 (@_firauni) 's Twitter Profile Photo

Kuna mpangaji wenzangu hapa kila siku anakuja kuniomba hela ya mihogo, mara hela ya vocha. Af n mke wa mtu Ipo siku nitamlomba buku buku zangu nyingi sana

T5 generation👊 (@t5generation) 's Twitter Profile Photo

Kufanya mazoezi jioni ni kama kufunga ukurasa wa siku. Unatoa uchovu, unajaza nguvu mpya na unalala ukiwa na mwili mwepesi na akili tulivu. 💪