𝕏MAFIA (@mafiameech) 's Twitter Profile
𝕏MAFIA

@mafiameech

womb to the tomb||Cartel leader||Threader 🧵

ID: 1565776349981282306

calendar_today02-09-2022 19:02:44

2,2K Tweet

1,1K Takipçi

1,1K Takip Edilen

L U C I A N (@luciantristan) 's Twitter Profile Photo

Kitu nilichojifunza Leo kwenye ligi ya mbuzi mtaani kwangu ni kwamba ⬇️ Kama Mzazi na ukiweza kupata pesa ni Bora kumsomesha mtoto shule za binafsi Kuliko serikali, Aisee watoto wanaharibika sana ndugu zanguni .

Kitu nilichojifunza Leo kwenye ligi ya mbuzi mtaani kwangu ni kwamba ⬇️

Kama Mzazi na ukiweza kupata pesa ni Bora kumsomesha mtoto shule za binafsi Kuliko serikali, Aisee watoto wanaharibika sana ndugu zanguni .
Dead Nigga Alive(DNA) (@deadniggaalive) 's Twitter Profile Photo

Yule chaka tu chaka angalii leo ni Sunday day tumtukuze bwana yy anapost tu chuchu anyway hana baya soon atatubless nyapu tuwe wavumilivu tuu 🫴

Dead Nigga Alive(DNA) (@deadniggaalive) 's Twitter Profile Photo

Unakuta Msela anachukia sisi kwenda kwa chaka tu chaka na Mkewa pipa alfu ni mwanaume huyo bora wangekuwa mademu tunajua wanao wivu Sasa ww unaumia nn nigga basi post paja lako na ww tukusifie🫵

Extreme introvert 🤦🏼‍♀️💫 (@sincerelyrahma_) 's Twitter Profile Photo

Nilisema wakifika afsaba ndo napost video yangu nikiwa nangengua sokoni sio?! Sasa wakifika afsaba myatano namlipa chicca ile picha alopost leo😎🫵

Nilisema wakifika afsaba ndo napost video yangu nikiwa nangengua sokoni sio?!

Sasa wakifika afsaba myatano namlipa chicca ile picha alopost leo😎🫵
Exquisite ♞ (@exquisite_255) 's Twitter Profile Photo

Kibaya ni kwamba tunadhani tunai'control AI kufanya mambo mabaya kumbe yenyewe ndio inatu'control sisi subliminally! Kuna mengi makubwa zaidi ya kuwavua watu nguo yanakuja, hiyo ni some of the bad things of what's behind AI generation. Too bad everyone is falling for this💔