MK 7bits # (@kabaisa_jr) 's Twitter Profile
MK 7bits #

@kabaisa_jr

ID: 1478708679000084488

linkhttp://x.com calendar_today05-01-2022 12:43:33

33,33K Tweet

11,11K Takipçi

8,8K Takip Edilen

Charlotte Asaaba (@asaabacharlotte) 's Twitter Profile Photo

To more years of enjoying the goodness of the lord... Making new positive and productive friends and good health. Thank you for having me at heart...dear mutuals.... Happy birthday to me...🥂💐💚

To more years of enjoying the goodness of the lord...
Making new positive and productive friends and good health.
Thank you for having me at heart...dear mutuals....
Happy birthday to me...🥂💐💚
MK 7bits # (@kabaisa_jr) 's Twitter Profile Photo

Mwambieni mond wengine tunafanya kazi kwa bidii tatizo ni wachawi tunaamka mapema tunalala tumechelewa lakini tunacho kipata ni kidogo mno' lakini atukati tamaa na anayetoa ? 🙏🙏

Mwambieni mond wengine tunafanya kazi kwa bidii tatizo ni wachawi tunaamka mapema tunalala tumechelewa lakini tunacho kipata ni kidogo mno' lakini atukati tamaa na anayetoa ? 🙏🙏
wezzey (@kasimuabuu98) 's Twitter Profile Photo

SURE BET 1 SLIP PER DAY🔥🔥🔥🔥🔥✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰 KUJISAJILI(Register 👇) PARIPESA📌 Link👉 : paripesa.bet/injinia Promocode : INJINIA Apk(APP) link👉 : paripesa.bet/injiniapp ☎️+255627461577-FREE WHATSAPP GROUP📌 isSUe🧠bOy

SURE BET 1 SLIP PER DAY🔥🔥🔥🔥🔥✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰

KUJISAJILI(Register 👇) PARIPESA📌
Link👉 : paripesa.bet/injinia
Promocode : INJINIA
Apk(APP) link👉 : paripesa.bet/injiniapp

☎️+255627461577-FREE WHATSAPP GROUP📌
<a href="/the_engineer777/">isSUe🧠bOy</a>
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hii ni BBC Africa. Hapa zinawekwa habari za Africa. Naona mzigo tayari umewekwa. Na umewekwa kwa Translation ya ENGLISH. Kwa maana nyepesi hapa TUNAONGEA na AFRICA NZIMA. Wanajua TANZANIA KUNA UTEKAJI. Wakosoaji HATUPO SALAMA. Kanuni ni ile ile “mpaka MUNGU aseme Mwanangu

Hii ni BBC Africa.

Hapa zinawekwa habari za Africa. Naona mzigo tayari umewekwa. Na umewekwa kwa Translation ya ENGLISH.

Kwa maana nyepesi hapa TUNAONGEA na AFRICA NZIMA. Wanajua TANZANIA KUNA UTEKAJI. Wakosoaji HATUPO SALAMA.

Kanuni ni ile ile “mpaka MUNGU aseme Mwanangu
MK 7bits # (@kabaisa_jr) 's Twitter Profile Photo

Dogo baada ya kujipata kimaisha kamkana baba ake mzazi mbele ya camera kwa kulishwa maneno ya chuki na mama ake mzazi kwa sisi waisilam tunaamini Pepo zetu zipo kwa wazazi wetu ukikosa radhi ya mzazi mmoja basi umepata hasara' aijalishi utakuwa tajiri kiasi gani mpaka Leo baba

Dogo baada ya kujipata kimaisha kamkana baba ake mzazi mbele ya camera kwa kulishwa maneno ya chuki na mama ake mzazi kwa sisi waisilam tunaamini Pepo zetu zipo kwa wazazi wetu ukikosa radhi ya mzazi mmoja basi umepata hasara' aijalishi utakuwa tajiri kiasi gani mpaka Leo baba
MK 7bits # (@kabaisa_jr) 's Twitter Profile Photo

SATIVA17 ni kijana pekee au mwana siasa aliye tekwa na kupigwa risasi lakini kwa mapenzi ya mungu mpaka Leo ni mzima wanasiasa wengine mpaka Leo hawajulikani walipo ' Guys hii kitu msiichukulie poa kumbuka kule msituni kuna wanyama wananusa damu lakini hawakuweza kushambulia.

<a href="/Sativa255/">SATIVA17</a> ni kijana pekee au mwana siasa aliye tekwa na kupigwa risasi lakini kwa mapenzi ya mungu mpaka Leo ni mzima wanasiasa wengine mpaka Leo hawajulikani walipo ' Guys hii kitu msiichukulie poa kumbuka kule msituni kuna wanyama wananusa damu lakini hawakuweza kushambulia.
MK 7bits # (@kabaisa_jr) 's Twitter Profile Photo

“ Akichwali binadamu si mtu inaniuma sana kuona masikini atupendani sijuhi shida ni nini wakati matajiri wanaungana kupiga mnyonge wanyongwe ndo kwanza tunatengana Shekhe wamemuuwa kama utani kisa fitina za maisha daah 😰 kwaichi kisomo kutoboa wiki ni ngumu sikiliza mwenyewe