Francis Kiwanga
@KiwangaFrancis
Executive Director-The Foundation for Civil Society-Tanzania | Transitioning towards legal consulting and real estate industries.
19-01-2017 09:30:30
1,4K Tweets
5,1K Followers
392 Following
Nafurahi leo tumepata mkurugenzi mpya wa Foundation for Civil Society. Baada ya mchakato wa miezi mitano, bodi imemteua Bw. Justice Rutenge kuwa mkurugenzi mtendaji kuanzia tarehe 1.05.2024.
Naamini ya kwamba Bw. Rutenge ataleta mawazo na maarifa mapya ya kuendeleza taasisi kufikia malengo mahususi.
Francis Kiwanga Foundation for Civil Society Justice Rutenge Hongera kwa uongozi wako makini Kaka Francis Kiwanga
Unaacha asasi za kiraia za Tanzania pahali bora zaidi ya ulipozikuta
Na ninaamini Justice atakuwa kiongozi mahiri na kuipeleka FCS na AZAKI zetu mbele zaidi na zaidi ๐ช๐พ