אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile
אנדרוניקוס

@thenameis_andro

I were born a man I will not die as a grosser
Ticktack lifestyle - The Sabbath's

ID: 896436422

calendar_today22-10-2012 00:36:13

101,101K Tweet

2,2K Takipçi

1,1K Takip Edilen

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Kakaaa.. Kaa kwenye mstari.. Habari za mfuno mama na mfumo baba wa Pochetino umeleta wewe haikuwa sehemu ya hoja yangu. Hoja yangu ni Trippier alikuwa anacheza wapi chini ya Pochettino akiwa 3-4-3.. HILI HAUJAJIBU. Mifano ya right footer waliocheza LWB ni wengi ikiwemo our

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Ujumbe ni ule ule.. Kuvaa jezi za timu nyingine sio dhambi.. Vichwa vilivyojaa kamasi semeni tu mlikasilishwa na jina liliandikwa 😅😅😅

Ujumbe ni ule ule.. Kuvaa jezi za timu nyingine sio dhambi.. 
Vichwa vilivyojaa kamasi semeni tu mlikasilishwa na jina liliandikwa 😅😅😅
Bellamy 🇹🇿 (@bellamy__cc) 's Twitter Profile Photo

Man said “study the game” like we’re not out here playing it with no controller. You can’t build a tech mindset in a place where schools still have chalkboards and no internet. Let’s talk about access before we preach focus.

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Kama sio selling club inakuwaje mtegemee kikubwa kwenye kuuza?? Kama sio selling club kwanini wachezaji wenu wasipopata timu mnalaumu wachezaji?? in this case ni mchezaji. Na kitendo cha kusema sio selling club maana yake umekubali hamna UWEZO WA KUUZA.. kwanini ya sasa hivi

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Kwahiyo duniani Man Utd tu ndio sio Selling Club?? Kwanini Madrid, Bayern mpaka Chelsea wana manage kuuza hata wachezaji ambao hawawahitaji?? UWEZO WA TIMU YAKO KUUZA NI MBOVU.. na it has nothing to do if it is Selling Club or not hicho ni kichaka tu umekiweka ili umpake matope

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Kaka.. lete mfano hapa wa top player uliowahi kuuza.. Huyo Antony we ulinunua kwa bei ya mid?? Huyo Sancho we ulinunua kwa bei ya mid?? Inakuaje City wanauza Palmer kwa 40 academy player aliyecheza mechi 3 PL we unashindwa kuuza Maino ambaye hadi ana national caps? na hata

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Kama unadhani player power United itaondoka ni unasubiria basi bandarini.. Fergie pamoja na ku earn right ya kuogopwa na kuheshimiwa bado ilibidi aishi na viburi vya akina Rooney, Ronaldo, Paul Ince, Roy Keane na wengine.. Sembuse hawa makocha wa mishenyentoo??!!

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Jaap Stamp na Roy Keane ulikuwa hauwataki na bado uliuza kwa bei ya mkaa.. Van Nistelrooy na Veron ulikuwa unawataka na watu wakabisha hodi ukauza kwa bei ya mkaa vile vile.. TIMU YETU HAIJUI KUUZA. Hao wachezaji wana mikataba kama hauwataki vunja mikataba yao kila mtu awe

אנדרוניקוס (@thenameis_andro) 's Twitter Profile Photo

Walioubonda sababu walikuwa na mwalimu mzuri aliyejua kupata the best out his players hata kama hawana vipaji vikubwa.. Nyie mnaongea chochote kutetea kocha wa hadhi ya Lipuli.. Mi nimeshuhudia kocha mwenye kiungo ya Cleverley na Anderson foward mbele mzee Owen na Welbeck