ɱTαɳɠαɳყιƙα❄ (@tanganyika_m) 's Twitter Profile
ɱTαɳɠαɳყιƙα❄

@tanganyika_m

|Legend🥋Strategist🧠Universal Set{ }🌍Catalyst💱Aerofoil🛸 Jokester💭|Simba SC💪🏿🎱

ID: 1155386774874664960

calendar_today28-07-2019 07:57:27

31,31K Tweet

51,51K Takipçi

22,22K Takip Edilen

ɱTαɳɠαɳყιƙα❄ (@tanganyika_m) 's Twitter Profile Photo

,,,jana nakatiza mitaa flani ivi na guta langu nauza mihogo, nakuta vijana wamevalia T-Shirts zimeandikwa “VINYOZI WA MAMA”😀😀,,, sijui na nyie mmewaza kama mimi🤣…⚽️🧑🏿‍🦯

,,,jana nakatiza mitaa flani ivi na guta langu nauza mihogo, nakuta vijana wamevalia T-Shirts zimeandikwa “VINYOZI WA MAMA”😀😀,,,
sijui na nyie mmewaza kama mimi🤣…⚽️🧑🏿‍🦯
ɱTαɳɠαɳყιƙα❄ (@tanganyika_m) 's Twitter Profile Photo

Babu yenu nilikuwa nakula ugoro huku nikiangalia yuchubu ya lisu nikahamasika kufanya uhasi, ile nameza tuu tumbavu vuuuup makarao hawa hapa😂😂walikuwa wametegesha alarm nchi nzima 🙌🏿🙌🏿

ɱTαɳɠαɳყιƙα❄ (@tanganyika_m) 's Twitter Profile Photo

siku tukiacha kufwatilia mambo ya kisenge senge ndio tutauaga umaskini, ila kwa sasa sisi na umaskini ni chupi na tako, utaamua mwenyewe uwe chupi au tako😂…⚽️🧑🏿‍🦯

SATIVA TIPS (@sativatips17) 's Twitter Profile Photo

Sauti bado hazitoshi wananagu. Nikama tunachukulia POA. Kiduku alikuwa mtu wa Space sana hata space ya kumpigia kelele kiduku mpaka sasa sijaona mnamaana gani? Tuongeze Nguvu wazee & Tusichukulie poa kabisa. REPOST 500 #FreeKiduku KIDUKU

Sauti bado hazitoshi wananagu. 

Nikama tunachukulia POA. 

Kiduku alikuwa mtu wa Space sana hata space ya kumpigia kelele kiduku mpaka sasa sijaona mnamaana gani?

Tuongeze Nguvu wazee & Tusichukulie poa kabisa.

REPOST 500 

#FreeKiduku <a href="/TanzaniaOneJezi/">KIDUKU</a>
ɱTαɳɠαɳყιƙα❄ (@tanganyika_m) 's Twitter Profile Photo

ungemalizia na kukemea pia kitendo cha yeye kutekwa, Matusi hayaruhusiwi kisheria na kuna sheria za kumhukumu mtu kama huyo, basi wapelekwe ktk vyombo vya sheria na sio kuwateka,,,vyote sio Sawa ila kuna ambacho sio SAWA ZAIDI…⚽️🧑🏿‍🦯