Women and Technology Tanzania Zephania Reuben LogAI #SikuYaMtotoWaKikeKatikaTEHAMA
Katika maadhimisho ya #SikuYaMtotoWaKikeKatikaTEHAMA, Mwalimu Zephania Reuben (Zephania Reuben ) kutoka LogAI aliongoza mafunzo ya Al kwa mabinti zaidi ya 20, walioonesha nia na uelewa mkubwa. Mwalimu Zephania Reuben anahimiza jamii ya wataalamu na wafadhili kuwekeza katika wasichana.