Ile design ya Kenyan Ting leo ndani ya building ni Onesmus Karari, msanii wa reggae.
Ungetaka kujua nini about Kenyan reggae?
#WaksTikiTaka
#RadioNumberOne
Round 1 ndani ya #MamboMseto ukiwa naye Rais wa Mix DJ Flash Kenya. Unapokea burudani na muziki ukiwa wapi?
#MamboMseto
#RadioNumberOne
Je, kunastahili kuwa na mipaka baina ya Baba na Binti yake?
Ni wakati wa #RahaKaraha 8pm - 12am, ungana nao Mwanahamisi Hamadi , Kadzo ndhundhi , Geoffrey Mwamburi (BEKI) & Mamati Patisi.
#RahaKaraha
#RadioNumberOne
#NP Chonga Viazi yao Boomba Clan ndani ya #MsetoTBT ukiwa na Mzazi Willy M. Tuva Kadot DJ Flash Kenya Pablo Mulunda
#MsetoTBT
#RadioNumberOne
Jizee, kamata position ni awamu ya #GoodEveningKenya ukiwa nami Kamau Munyua. Je, unatupata ukiwa wapi?
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Onesmus Karari: Watu wananicompare na Lucky Dube because ya my style of music and looks
#WaksTikiTaka
#RadioNumberOne
Hon. Edwin Sifuna: Serikali haijashughulikia mgomo wa Madaktari Ipasavyo.
#JamboKenya
#RadioNumberOne
Karibu ndani #MsetoTBT round 2 ukiwa na Mzazi Willy M. Tuva, Kadot na DJ Flash Kenya na tayari tunapiga gumzo na mgeni wetu TID. Je, unatupata ukiwa wapi?
#MsetoTBT
#RadioNumberOne
Unasemaje about game ya jana ya Manchester United. Walideserve win ama walidandia wanyonge?
#WaksTikiTaka
#RadioNumberOne
Radio Citizen Ann Q-tee Ibu badman Dj Ronixx The Don #WaybBackThursday
@WaksTikiTaka
#RadioNumberOne
Am tuned in from kitale
Karibu ndani ya #MamboMseto Fresh Furahidei, hapa tunajiwachilia na kusahau shida. Unatupata ukiwa wapi?
Kadot DJ Flash Kenya Pablo Mulunda
#MamboMseto
#RadioNumberOne
Radio Citizen Ann Q-tee Ibu badman Dj Ronixx The Don #WaksTikiTaka
#Waybackthursday
#RadioNumberOne
Following the show outer Nakuru city ✅✅✅✅
Hakuna kitu kilicho na thamani katika ulimwengu huu kuliko maisha yako.
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
Hewani ni mpango mzima wa #DriveOnReloaded ukiwa na Tina Ogal na @abdimunai unapokea burudani ukiwa wapi?
#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne