Tunafatilia kwa ukaribu uchaguzi wa wanafunzi katika Chuo Kikuu Cha SAUT Mwanza. Kufuatia Tume ya uchaguzi kujaza makada wa CCM Ili wawaengua wagombea kutoka upinzani. SAUT ni chuo kilichojenga taswira yake kuwa cha HAKI NA UHURU kamwe kisijiingize katika ubaguzi wa kiitikadi.