Edward Moringe Sokoine alikuwa ni Mzalendo wa kweli; mchapakazi; msafi kweli-kweli; mjamaa zaidi ya Mwalimu Nyerere, hakuiba wala kujilimbikizia mali; alikuwa anachukia Mafisadi na majizi kutoka moyoni.
Sokoine ni ROLE-MODEL wetu wenye uchungu wa kweli na nchi yetu. #TaifaKwanza
Happy Labour day!
From Kenya's number one mchapakazi to you. We are reminding you that you are in your last years of joblessness. Serikali ya Dr. Babu Owino ni serikali inayoelewa maslahi yako.
Tutatimiza. Tutaweza!
#ThikaRoad
Kwanini serikali hitaki kutumika watu were vipaji weredi na upendo kwa nchi kama Tundu Antiphas Lissu ??