Ni wakati wa burudani konki kutoka kwa Rais wa Vijana Manucho the Young Baller na favourite Darvo . Unategea #Baze47NaManucho wapi?
#HapaNdipo
Dr, Susan Gitau yupo live kwa ajili ya mafunzo muhimu, kuhusu afya yako na dhidi ya kuepukana na dawa za Kulevya.
#HapaNdipo
#Neno ....EFATHA!! Marko 7:31-37....Mwezi huu wa Mei, tunanenea hali ambazo zimekua kiziwi, zimekataa kusikia, malango ambayo yamekataa kusikia, tunatangaza EFATHA, funguka katika Jina la Yesu! Amina! Tukutane Galilaya!
#NuruNaEvahMwalili #HapaNdipo
Heeeeeey, ni wakati wa kuchikicha naye Mkamburi Chigogo na Mc Japhe ndani ya Mchikicho.
#HapaNdipo #MkamburiNaJaphe
Ikiwa ni holiday, unategea The Bigboyz of Radio #MwashumbeNaMwakideu ukiwa wapi? Una kipi cha kuwaambia?
#HapaNdipo
Wavuti: radio47.fm
Is cheating part of the ups and downs in a relationship? Karibu ndani ya Maskani47 ukiwa na Billy Miya na Mbaruk Mwalimu. #HapaNdipo #BillyNaMbaruk
Je, boyfriend wako hukuandikia 'poems' ama hii ni peer pressure?ππ #HapaNdipo #BillyNaMbaruk Billy Miya Mbaruk Mwalimu
Hivi ndio tunaleta Peoples Choice Award hapa Radio47!
VOTE NOW! SMS word KUZA to 15601 and VOTE for RADIO47 as the Radio Station of the Year. VOTE Online kuzaawards.co.ke/index.php/kuza⦠#HapaNdipo
Uko tayari kuelimishwa maswala ya hela? Tuko naye Pish Anataka ambaye ni Co-Curriculum Activities Coach , unategea ukiwa wapi?
#HapaNdipo #MkamburiNaJaphe
Maswali Kichwani!!!
Dams zinazoweka wakaazi kwenye hatari ni ngapi??
#HapaNdipo #MwashumbeNaMwakideu
What is the right age for a man to move out of his father's house? #HapaNdipo #Chemba The Eagle Himself
Identify a good sacco before taking a loan from them- Steve Waweru
#MchikichoNaMkamburi #HapaNdipo