Awamu ya 2 ya #AsheBreakfast
Mjadala: Kufikia sasa zaidi ya wakenya 83 wameaga dunia kutokana na mafuriko huku zaidi ya wakenya 131,000 wakipoteza makao. Unadhani kipi kinastahili kufanywa ili kupunguza madhara na athari zinazosababishwa na mafuriko nchini?
Awamu ya 3 ya #AsheBreakfast
#SihaNjema
Hii tunaangazia athari za kiafya ambazo huenda zikasababishwa na mafuriko yanayoshuhudiwa humu nchini. Swali lako ni lipi?
Call 07 12 00 00 14 Sms/Whatsapp 07 12 04 00 10
Karibu sana kwenye #Upekuzimagazetini katika awamu ya 1 ya #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe #Tumainilauzima
Janga la mafuriko nchini
Karibu sana Msikilizaji kwenye #Upekuzimagazetini katika round 1 ya #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe
Awamu ya 2 ya #AsheBreakfast
Mjadala: Kufikia sasa zaidi ya wakenya 83 wameaga dunia kutokana na mafuriko huku zaidi ya wakenya 131,000 wakipoteza makao. Unadhani kipi kinastahili kufanywa ili kupunguza madhara na athari ?
Awamu ya 3 ya #AsheBreakfast
Mazungumzo: Athari za mabadiliko ya tabia nchi kwa wanawake na wasichana ni zipi? Ni kipi kinastahili kufanywa ili kudhibiti athari za mabadiliko ya tabia nchi?
Radio Ashe Emmanuel Matano
#Africanwomanandchildfeatureservice
Awamu ya 3 ya #AsheBreakfast
#Sihanjema
Wiki hii ulimwengu mzima unaadhimisha wiki ya chanjo duniani. Studioni ninaye Dkt John Letiwa kutoka hospitali ya rufaa ya Samburu tukiangazia umuhimu wa chanjo. Swali lako ni lipi?
#WorldImmunizationWeek
#Np Imani by Eve Bahati kwenye round 1 ya #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe #Tumainilauzima
Asubuhi njema Msikilizaji! U hali gani? Safari ya #AsheBreakfast ndio hiyo inang'oa nanga na kwenye usukani ni Emmanuel Matano Radio Ashe . Unaabiri ukiwa wapi?
Call 07 12 00 00 14 Sms/Whatsapp 07 12 04 00 10
Listen live: radioashe.org
Kumekucha Msikilizaji! Wikendi ilikuaje? Ni wakati wa kuanza wiki Kwa baraka kwenye mpango mzima #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe . Wakaribishe wawili tukisonga pamoja.
Call 07 12 00 00 14 Sms/Whatsapp 07 12 04 00 10
Listen live: radioashe.org
Kumekucha Msikilizaji! Happy New Month Msikilizaji! Ni wakati wa kunyakua baraka kwenye mpango mzima #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe Unalog in ukiwa wapi?
Call 07 12 00 00 14 Sms/Whatsapp 07 12 04 00 10
Asubuhi njema Msikilizaji! U hali gani? Safari ya #AsheBreakfast ndio hiyo inang'oa nanga na kwenye usukani ni Emmanuel Matano Radio Ashe . Unaabiri ukiwa wapi?
Call 07 12 00 00 14 Sms/Whatsapp 07 12 04 00 10
Black Monday, Janga la Mafuriko
Karibu sana kwenye #Upekuzimagazetini kwenye round 1 ya #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe #Tumainilauzima
Karibu kwenye #Upekuzimagazetini katika round 1 ya #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe
#Tumainilauzima
#Mjadala
Hilary(Elgeyo Marakwet) Kuna haja ya kuzuia ujenzi wa aina yoyote kwenye njia za maji. Pia kuna haja ya upanzi wa miti kwa wingi ili kuzuia mmomonyoko wa udongo
Emmanuel Matano Radio Ashe #AsheBreakfast
#Upekuzimagazetini
Hilary(Elgeyo Marakwet) Tunaambiwa tuchukue tahadhari kabla ya hatari lakini serikali iwasaidie kuwahamisha watu kwenye maeneo salama na kuwa msaada
Radio Ashe Emmanuel Matano #AsheBreakfast