Watoto wa kike wapate fursa ya kuendelea na masomo baada ya kujifungua. Elimu isiyo na ubaguzi ni haki ya msingi, lakini tutahakikishaje hili ikiwa hakuna sera inayoelekeza wasichana kurejea shuleni? #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Serikali ielekeze juhudi zake za kuwasaidia watoto wa kike kuzuia mimba zisizotarajiwa na kuhakikisha utekelezaji wa wasichana wanaorudi shuleni baada ya kujifungua kwa kuweka sheria na miongozo rasmi ya kufuatwa. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Let's all never forget that a worker is a valuable asset to any country. On this International day let us be reminded that all workers need to be treated with respect and their rights must always be acknowledged. #InternationalWorkersDay #ActiveCitizens
Ni muhimu kuondoa tofauti za kijinsia za kimfumo, miongoni mwa wasichana na wavulana, katika mfumo mzima wa elimu. Hii inahitaji kuthamini elimu kama chombo cha usawa na uwezeshaji wa wanawake. - UNESCO #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
We know that no country can prosper if half its people are left behind. - Melanne Verveer …The truth is that countries that repress women also tend to be backward economically and are more likely to be failed states. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
“There can be no peace without development, no development without peace, and no lasting peace or sustainable development without respect for human rights and the rule of law.” — Jan Eliasson #ActiveCitizens
Uchunguzi unaonyesha kupunguza ukosefu wa usawa wa kijinsia huongeza tija na ukuaji wa uchumi. Sera ya kurudi shule itasaidia kupunguza pengo la ukosefu wa usawa wa kijinsia katika elimu. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Hakuna nchi inayoweza kujiendeleza kikamilifu kiuchumi na kijamii ikiwa itashindwa kutumia kikamilifu vipaji vya wananchi wake. Vipaji vya binadamu ni rasilimali muhimu na wanawake ni nusu ya rasilimali hiyo. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
'Njia za elimu mbadala katika mfumo wa Tanzania umebaki kuwa chaguo pekee kwa wasichana ambao wamefukuzwa na kunyimwa haki yao ya elimu bila kumaliza elimu ya lazima. ~ Human Rights Watch #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Connect with Omaha Performing Arts: Learn about what’s coming in May #SupportingOurCommunity #ActiveCitizens #BuildingConnections [Video] We know OPA for Broadway shows, but there's so much more to discover, including FREE, community-focused ... dlvr.it/T6HT8F
As citizens, we have to co-create good governance, we cannot outsource it and hope to be passively happy consumers. Like everything worth its while, good governance must be earned. – Rohini Nilekani #ActiveCitizens
No country can fully develop economically and socially if it fails to tap and fully utilize the talent of its citizens. Human talent is a critical resource and women are half of that resource. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Commit yourself to the noble struggle for human rights. You will make a greater person of yourself, a greater nation of your country and a finer world to live in. – Martin Luther King, Jr. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
SDGs reaffirm the world’s commitment to achieving equitable quality education for all and empowerment of women and girls by 2030. This requires substantial resources, political will, and coordinated efforts by all stakeholders. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
It is essential to eliminate systemic gender disparities, between girls and boys, throughout the education system.. This requires a better appreciation of the role of education as an instrument of women’s empowerment. - UNESCO #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Utafiti unaonyesha kuwa uwekezaji kwa wanawake, na hasa elimu ya wanawake, una athari nyingi chanya, ikiwa ni pamoja na: kushusha viwango vya vifo vya watoto wachanga, vifo vya uzazi; na kukuza uwekezaji wa elimu kwa watoto. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
We cannot all succeed when half of us are held back. – Malala Yousafzai #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ActiveCitizens
Akron Mayor Shammas Malik gets engaged in Paris, France #SupportingOurCommunity #ActiveCitizens #BuildingConnections [Video] Akron Mayor Shammas Malik took to social media to announce his engagement to his girlfriend Alice Duey. Malik proposed in Paris,… dlvr.it/T6D5gs