SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile
SokaPlace

@sokaplace

The Official Twitter account for @sokaplace_
Instagram: @sokaplace_
Facebook: @Sokaplace
Call us 0715255182
sponsored by @Mwanjelwagrovet

ID: 1440286436

linkhttp://www.sokaplace.com calendar_today19-05-2013 05:27:33

37,37K Tweet

30,30K Takipçi

426 Takip Edilen

SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Aggy Simba anasema wao walimuimba Sana Ibenge na akaletwa hadi kwenye Mkutano Mkuu wa Simba mwaka 2022 lakini Leo Azam FC wanaenda kumtambulisha kama Kocha wao Mkuu MWANJELWA AGROVET CENTER

Aggy Simba anasema wao walimuimba Sana  Ibenge na akaletwa  hadi kwenye Mkutano Mkuu wa Simba mwaka 2022 lakini Leo Azam FC wanaenda kumtambulisha kama Kocha wao Mkuu

<a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa kocha Mkuu wa klabu ya Mtibwa Sugar Mecky Maxime anatajwa huenda akarejea klabu ya Mtibwa Sugar baada ya kuachana na Dodoma Jiji hata hivyo pia Namungo wako kwenye mazungumzo makubwa na kocha huyo MWANJELWA AGROVET CENTER

Aliyekuwa kocha Mkuu wa klabu ya Mtibwa Sugar  Mecky Maxime anatajwa huenda akarejea klabu ya Mtibwa Sugar baada ya kuachana na Dodoma Jiji hata hivyo pia Namungo wako kwenye mazungumzo makubwa na kocha huyo
<a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa kuwa Golikipa wa klabu ya KenGold Sc ya Chunya Castor Mhagama amefanikiwa kujiunga na timu ya Dodoma Jiji Kwa uhamisho huru akitokea klabu ya Kengold baada ya kumaliza mkataba wake na wachimba dhahabu hao kutokea Mkoani Mbeya. MWANJELWA AGROVET CENTER

Aliyekuwa kuwa Golikipa wa klabu ya KenGold  Sc ya Chunya Castor Mhagama amefanikiwa kujiunga na timu ya Dodoma Jiji Kwa uhamisho huru akitokea klabu ya Kengold baada ya kumaliza mkataba wake na wachimba dhahabu hao kutokea Mkoani Mbeya.

<a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya JKT Tanzania imekamilisha Usajili wa Mshambuliaji Paul Peter kutoka klabu ya Dodoma Jiji Kwa Mkataba wa miaka miwili, Paul anajiunga na JKT Tanzania Kama Mchezaji Huru baada ya kumaliza Mkataba na walima zabibu. MWANJELWA AGROVET CENTER

Klabu ya JKT Tanzania imekamilisha Usajili wa Mshambuliaji  Paul Peter kutoka klabu ya Dodoma Jiji Kwa Mkataba wa miaka miwili, Paul  anajiunga na JKT Tanzania Kama Mchezaji Huru baada ya kumaliza Mkataba na walima zabibu.
<a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Kiungo Mkabaji Himid Mao Mkami amerejea klabu yake ya zamani Azam Fc Mao amesaini Mkataba wa mwaka mmoja utakaomfanya asalie Azam Fc hadi Mwaka 2026 #sokaplaceupdates Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER #sokaplace

Kiungo Mkabaji Himid  Mao Mkami amerejea klabu yake ya zamani Azam Fc Mao amesaini  Mkataba wa mwaka mmoja utakaomfanya asalie  Azam Fc hadi Mwaka  2026

#sokaplaceupdates
Sponsored by <a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
#sokaplace
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Golikipa wa klabu ya Simba Musa Camara ataendelea kusalia ndani ya kikosi cha Simba za ndani zinasema mabosi wa klabu hiyo bado wanaimani na Golikipa Huyo. #sokaplaceupdates Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER

Golikipa wa klabu ya Simba Musa Camara ataendelea kusalia ndani ya kikosi cha Simba za ndani zinasema mabosi  wa klabu hiyo bado wanaimani na Golikipa Huyo.

#sokaplaceupdates 
Sponsored by <a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Al Hilal ya Sudan Jana imethibitisha kuwa Mchezaji wao Hatari Jean Claude Girumugisha Raia wa Burundi ameongeza Mkataba wa kuendelea Kuitumikia klabu hiyo hadi Mwaka 2029 MWANJELWA AGROVET CENTER

Klabu ya Al  Hilal ya Sudan Jana imethibitisha kuwa Mchezaji wao Hatari Jean Claude Girumugisha Raia wa Burundi ameongeza Mkataba wa kuendelea Kuitumikia klabu hiyo hadi Mwaka 2029
<a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Good Morning Fans wa Chelsea 🏟️ ✅ Fainali ya Club World Cup 2025 FT Chelsea 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 3️⃣ ➖ 0️⃣ PSG 🇫🇷 ⚽ 22' Palmer (🎯 Gusto) ⚽️ 30' Palmer (🎯 Colwill) ⚽️ 43' Joao Pedro (🎯 Palmer) #sokaplace Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER

Good Morning Fans wa Chelsea 🏟️

✅ Fainali ya Club World Cup 2025

FT Chelsea 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 3️⃣ ➖ 0️⃣ PSG 🇫🇷

⚽ 22' Palmer (🎯 Gusto)
⚽️ 30' Palmer (🎯 Colwill)
⚽️ 43' Joao Pedro (🎯 Palmer)

#sokaplace
Sponsored by <a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Azam FC imekamilisha Usajili wa Winga, Baraket Ilhmidi Raia wa Tunisia aliyesaini Mkataba wa Miaka Miwili na klabu Hiyo utakaomfanya asalie klabuni hapo hadi Mwaka 2027 Baraket amejiunga na Azam FC akitokea klabu ya Club Sportif.sfaxien ya Tunisia #sokaplaceupdates

Klabu ya Azam FC imekamilisha Usajili wa Winga, Baraket Ilhmidi Raia wa Tunisia aliyesaini Mkataba wa Miaka Miwili na klabu Hiyo utakaomfanya  asalie klabuni hapo hadi Mwaka 2027

Baraket amejiunga na Azam FC akitokea klabu ya <a href="/club_sportif/">Club Sportif</a>.sfaxien ya Tunisia

#sokaplaceupdates
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Matajiri wa Jiji la DSM Klabu ya Azam FC usiku huu wametangaza Kukamilisha usajili wa Mchezaji Taieb Ben Zitoun Raia wa Tunisia akitokea Al Hilal ya Sudani Ibenge anaendelea kushusha Vyuma #sokaplaceupdates Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER #Sokaplace

Matajiri wa Jiji la DSM Klabu ya Azam FC usiku huu wametangaza  Kukamilisha usajili wa Mchezaji Taieb Ben Zitoun  Raia wa Tunisia  akitokea Al Hilal ya  Sudani 

Ibenge anaendelea kushusha Vyuma 
#sokaplaceupdates 
Sponsored by <a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
#Sokaplace
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

Jezi za Ugenini za klabu ya Yanga Unawapa asilimia ngapi ? wamewakumbusha Kuwa watani wao walisepa Tarehe 8 #sokaplaceupdates Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER

Jezi za Ugenini za klabu ya Yanga 

Unawapa asilimia ngapi ?
wamewakumbusha Kuwa watani wao  walisepa Tarehe 8

#sokaplaceupdates 
Sponsored by <a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>
SokaPlace (@sokaplace) 's Twitter Profile Photo

MECHI YA KIRAFIKI FULL TIME: Simba SC 🦁 2–0 Wadi Degla ⚽️ Elie Mpanzu ⚽️ Kibu Denis 🔥 Ushindi mzuri kwa Simba SC kwenye mchezo wa kirafiki leo! 📍Sokaplace 🤝 Wadhamini MWANJELWA AGROVET CENTER

MECHI YA KIRAFIKI

FULL TIME: Simba SC 🦁 2–0 Wadi Degla 

⚽️ Elie Mpanzu
⚽️ Kibu Denis

🔥 Ushindi mzuri kwa Simba SC kwenye mchezo wa kirafiki leo!

📍Sokaplace
🤝 Wadhamini <a href="/Mwanjelwagrovet/">MWANJELWA AGROVET CENTER</a>