Shizzi De Jong (@shizzi70) 's Twitter Profile
Shizzi De Jong

@shizzi70

chelsea fan

ID: 1506499592094982154

calendar_today23-03-2022 05:15:09

1,1K Tweet

503 Takipçi

2,2K Takip Edilen

Rockstar✨️💼 (@rockstar_47bro) 's Twitter Profile Photo

Leo giv away Itakuwa nzito sana Nishapanda kwa Rizymax Nimee drop 700k Easy Make sure umeni follow then ree tweet pinned post tuishiii 😤✊

Leo giv away 
Itakuwa nzito sana 
Nishapanda kwa Rizymax 
Nimee drop 700k Easy 

Make sure umeni follow then ree tweet pinned post tuishiii 😤✊
John kalage 🇹🇿 (@kalage_jr) 's Twitter Profile Photo

Hali ya huyu mtoto binafsi imeniumiza na imenigusa, anahitaji msaada wa haraka. Jina la mtoto anaitwa ROSEMARY CHATANDA(5) Yupo Iringa wilaya ya Kilolo kijiji kinaitwa Masisiwe na matibabu yake nimetaarifiwa hayapungui 1,000,000 /= Amefanyiwa Operation nne ndani ya miezi sita pic.x.com/cY3bZi92JQ

Mrdj😂✌🏿 (@mrdj255) 's Twitter Profile Photo

Hayaaaa hayaaaaa mwenye ako na 2.6M anicheki DM used from Dubai full docoments location Dar es salaam RT zenu wakuuu muhim 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

Hayaaaa hayaaaaa mwenye ako na 2.6M anicheki DM used from Dubai full docoments location Dar es salaam 

RT zenu wakuuu muhim 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Andika Comments Nzuri kuhususiana na hizi picha za #NoReformsNoElection Hapa ni MUSOMA. Natafuta Washindi Wawili watakaopata 10k kila mmoja. Sharti ni kuandika ujumbe MZURI kwenye Comments. Wawili watakao pigiwa Kura na watu wengi kesho asubuhi wanaamka na 10K. Usisahau

Andika Comments Nzuri kuhususiana na hizi picha za #NoReformsNoElection 

Hapa ni MUSOMA.

Natafuta Washindi Wawili watakaopata 10k kila mmoja.

Sharti ni kuandika ujumbe MZURI kwenye Comments.

Wawili watakao pigiwa Kura na watu wengi kesho asubuhi wanaamka na 10K.

Usisahau
Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Uwezo Mkubwa wa Kimuziki alionao unawafanya vijana wavivu kumchukia. Na sio hao vijana tuu mpaka Wasanii wao. Kwa ulimwengu huu wa Sanaa ya Uchanaji atabaki kutambulika kwa jina moja tuu 👇🏽 JINIAZI 📌

Uwezo Mkubwa wa Kimuziki alionao unawafanya vijana wavivu kumchukia.

Na sio hao vijana tuu mpaka Wasanii wao.

Kwa ulimwengu huu wa Sanaa ya Uchanaji atabaki kutambulika kwa jina moja tuu 👇🏽

JINIAZI 📌
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hizi ndio comments mbili ambazo zimejishindia 10K asubuhi ya leo. Hizi ni chache kati ya nyingi ambazo ni nzuri sana zilizoelezea #NoReformsNoElection Huu utaratibu ni endelevu, lengo ni kusambaza Elimu ya #NoReformsNoElection Washindi wawili wametoka hapa X, na mshindi

Hizi ndio comments mbili ambazo zimejishindia 10K asubuhi ya leo.

Hizi ni chache kati ya nyingi ambazo ni nzuri sana zilizoelezea #NoReformsNoElection 

Huu utaratibu ni endelevu, lengo ni kusambaza Elimu ya #NoReformsNoElection 

Washindi wawili wametoka hapa X, na mshindi
MREMBO OG (@mrembo_og) 's Twitter Profile Photo

Wana X tunawezaje kumchangia ndugu yetu Joseph Mrungu angalau tu kwa hiki anacho kionyesha kwetu pia ana amini katika mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi kuliko wengi wenye viungo vilivyo kamilika.

Wana X tunawezaje kumchangia ndugu yetu <a href="/mrunguj9/">Joseph Mrungu</a> angalau tu kwa hiki anacho kionyesha kwetu pia ana amini katika mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi kuliko wengi wenye viungo vilivyo kamilika.
KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

CHELSEA New Jersey 25-26 BEI: 30000 SIZE: S,M,L,XL,XXL LOCATION: Kkoo Mchikichi Na Manyema CONTACT: WhatsApp Or Call 0682123872 DELIVERY: Mikoa Yote Na Nje Ya Nchi Naomba RT Yako🙏 Bonyeza Hiyo Link Itakuleta Moja Kwa Moja WhatsApp👇👇👇 wa.me/255682123872

CHELSEA New Jersey 25-26

BEI: 30000

SIZE: S,M,L,XL,XXL

LOCATION: Kkoo Mchikichi Na Manyema

CONTACT: WhatsApp Or Call 0682123872

DELIVERY: Mikoa Yote Na Nje Ya Nchi

Naomba RT Yako🙏

Bonyeza Hiyo Link Itakuleta Moja Kwa Moja WhatsApp👇👇👇

wa.me/255682123872
Beno Lyimo (@iamlyimo) 's Twitter Profile Photo

Inapendeza. Nina Miche ya papai moja ni 2000 tu, ekari Moja inaingia 544.. kuvuna ni kwanzia miezi 6-8 kwa miaka 3 Mfululizo, wekeni order Sasa🌱 Call/WhatsApp 0754302242

Carol Ndosi (@carolndosi) 's Twitter Profile Photo

Unaombea nini mwezi huu wa July? Mimi... Afya njema Imani zaidi Financial Security Mahusiano From our lips to GOD's ears..🙏