
Shizzi De Jong
@shizzi70
chelsea fan
ID: 1506499592094982154
23-03-2022 05:15:09
1,1K Tweet
503 Takipçi
2,2K Takip Edilen



Hali ya huyu mtoto binafsi imeniumiza na imenigusa, anahitaji msaada wa haraka. Jina la mtoto anaitwa ROSEMARY CHATANDA(5) Yupo Iringa wilaya ya Kilolo kijiji kinaitwa Masisiwe na matibabu yake nimetaarifiwa hayapungui 1,000,000 /= Amefanyiwa Operation nne ndani ya miezi sita pic.x.com/cY3bZi92JQ







Wana X tunawezaje kumchangia ndugu yetu Joseph Mrungu angalau tu kwa hiki anacho kionyesha kwetu pia ana amini katika mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi kuliko wengi wenye viungo vilivyo kamilika.










#TajiriLaKihaya Malisaaaaaa😘 Carol Ndosi DevotaTweve Wafuatilie hao ndani ya hizi siku tatu tu. Alafu ijumaa nkumbushe nkuongezee wengine watatu tena!