Sheila Mchamba (@sheilamchamba) 's Twitter Profile
Sheila Mchamba

@sheilamchamba

GOD OVER EVERYTHING ||CHIEF EXECUTIVE OFFICER OF NURU YA BINTI ORGANIZATION 👸🏾||CHADEMA’S LITTLE PRINCESS👸🏾

ID: 901218843162497024

calendar_today25-08-2017 23:04:50

7,7K Tweet

11,11K Followers

448 Following

Taivina James (@thereal_taivina) 's Twitter Profile Photo

Repost Repost Repost Good Morning Familia hatimaye tumepata mawasiliano ya Farida naye hatuwezi mtupa wote Wamekamatwa kwa kosa moja wote Familia hivyo mwenye Jero Buku Mnaweza muwekea Hapa👇 HALOTEL👇 0629609082 Farida Haji Mikoroti KIDUKU👇 0657523001 YAHSINTA CHUWA 🙏🙏

Repost Repost Repost

Good Morning Familia hatimaye tumepata mawasiliano ya Farida naye hatuwezi mtupa wote Wamekamatwa kwa kosa moja wote Familia hivyo mwenye Jero Buku Mnaweza muwekea Hapa👇

HALOTEL👇
0629609082 

Farida Haji Mikoroti

KIDUKU👇
0657523001

YAHSINTA CHUWA
🙏🙏
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo – Dar es Salaam, Ndugu Ernest Mgawe,aliitwa jana jioni, tarehe 01 Oktoba 2025, katika Kituo cha Polisi Gogoni. Baada ya kufika, alipelekwa moja kwa moja Kituo cha Polisi Oysterbay, Kinondoni. Kuanzia majira ya saa tatu

Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo – Dar es Salaam, Ndugu Ernest Mgawe,aliitwa  jana jioni, tarehe 01 Oktoba 2025, katika Kituo cha Polisi Gogoni. Baada ya kufika, alipelekwa moja kwa moja Kituo cha Polisi Oysterbay, Kinondoni.

Kuanzia majira ya saa tatu
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

KATEKWA Jina: Ntihakanigwa Kiba Umri : 38 Kabila: Muha Kazi: Mwinjilisti Kanisa : Anglican-Usule Chama: CDM Mahali alipopatia Tatizo: Tabora mjini, Cheyo B mwanga shop Kitoma road Tatizo: kutekwa na watu wasiojulikana Tarehe aliyopata tatizo: 06.10.2025

KATEKWA

Jina: Ntihakanigwa Kiba

Umri : 38

Kabila: Muha 

Kazi: Mwinjilisti 

Kanisa : Anglican-Usule

Chama: CDM

Mahali alipopatia Tatizo: Tabora mjini, Cheyo B mwanga shop Kitoma road

Tatizo: kutekwa na watu wasiojulikana

Tarehe aliyopata tatizo: 06.10.2025
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

KATEKWA Anaitwa Jerison keraliyo. Umri miaka 18 Mkazi wa kata ya kishili Mtaa kishili B Wilaya nyamagana Mkoa wa mwanza Ametekwa Jana. Mida ya sa 6:30 jioni Akiwa kishili center. Karibu na kasanda hotel Gari lililo mteka ni cruiser nyeupe ndugu wameenda vituo

KATEKWA 

Anaitwa 
Jerison keraliyo. 
Umri miaka 18 

Mkazi wa kata ya kishili 
Mtaa kishili  B 

Wilaya nyamagana  
Mkoa wa mwanza 

Ametekwa Jana. Mida ya sa 6:30 jioni
Akiwa kishili  center. Karibu na kasanda hotel  

Gari lililo mteka ni cruiser nyeupe  ndugu wameenda vituo
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

HUYU DOGO RAMSO ana miaka 21 tuu. Alitekwa siku ya nne leo. Huyu dogo eti ni hatari kwa serikali hii. Tupige kelele kwa wingi aisee. #FreeRamso #TUTAKUWEPO🫵😎

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

AMETEKWA🚨 Kijana huyu anaitwa Ibrahim Richard. Alitekwa tarehe 8.10.2025 saa 8 mchana akiwa Magu Mjini. Watu watano walimpakiza kwenye gari aina ya Land Cruiser na kutomomea naye. REPOST TUTAKUWEPO🫵🏾😎

AMETEKWA🚨

Kijana huyu anaitwa Ibrahim Richard. Alitekwa tarehe 8.10.2025 saa 8 mchana akiwa Magu Mjini. 

Watu watano walimpakiza kwenye gari aina ya Land Cruiser na kutomomea naye. 

REPOST

TUTAKUWEPO🫵🏾😎