Shadzam🎬 (@shadzam01) 's Twitter Profile
Shadzam🎬

@shadzam01

Wining is not for everyone || 💵 || 🧠
MOVIE UPDATES🎬

ID: 1810078775176314880

calendar_today07-07-2024 22:30:08

6,6K Tweet

1,1K Followers

816 Following

Junior mané (@juniour_jr10) 's Twitter Profile Photo

Kuna wanawake wanajua kupenda asee, still na wao wanahitaji kupendwa pia kwa moyo mkunjufu. Nguvu ya penzi jipya qmmk 🙌🏾🙌🏾 Nakupenda sana RONNIE wangu! ❤️‍🔥😴❤️🤸‍♂️

Kaji (@kaji_sijo) 's Twitter Profile Photo

Ronaldinho alikuwa zaidi ya mwanasoka alikuwa muujiza unaotembea. Tabasamu lake, chenga zake na furaha yake ya kucheza ziliwashangaza hata wale waliokuwa hawapendi mpira. Lakini wachache wanajua kwamba alipokuwa na miaka 13 tu aliambiwa na mganga Wewe utacheza kama sio

Ronaldinho alikuwa zaidi ya mwanasoka  alikuwa muujiza unaotembea. 

Tabasamu lake, chenga zake na furaha yake ya kucheza ziliwashangaza hata wale waliokuwa hawapendi mpira.

Lakini wachache wanajua kwamba alipokuwa na miaka 13 tu aliambiwa na mganga Wewe utacheza kama sio
King Senior (@seniorking01) 's Twitter Profile Photo

Maandalizi ya Album ya Harmonize si ya kawaida ni vile hapa ni Bongoresident hashtuii ila Production zinapigwa sana Ground vitu vinapikwa binafsii naisubiri sana.

DIGGALLER💯 (@danford_tz) 's Twitter Profile Photo

BRO TO BRO 😎 Kwenye simu ya demu wako zingatia namba zilizoseviwa! i. Cuzoo ii. Bestfriend iii. Bichwa iv. Classmate iv. Namba ambayo haijaseviwa ila inapiga kila siku mda wote! UTANISHUKURU BADAE🤝

CERTIFIED HATER PhD ✨ (@noedson_tz) 's Twitter Profile Photo

🚨🚨 OFFICIAL AND CONFIRMED Kama nilivyoripoti hapo awali, hakuna kilichobadilika FEI TOTO ataichezea Simba msimu ujao. Kila kitu Kipo sawa mpaka sasa Fei ameshaini mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia Simba msimu ujao.

🚨🚨

OFFICIAL AND CONFIRMED

Kama nilivyoripoti hapo awali, hakuna kilichobadilika FEI TOTO ataichezea Simba msimu ujao.

Kila kitu Kipo sawa mpaka sasa Fei ameshaini mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia Simba msimu ujao.
DIGGALLER💯 (@danford_tz) 's Twitter Profile Photo

BRO TO BRO 😎 Ukichukua simu yake, Usisahau kwenda WhatsApp pale Kwenye Chats juu kabisa…! Ka’search “Nipo Njiani” “nimefika” “Nimefika salama” “Ahsante nimepata” “Nakupenda Pia” HUTOJUTIA MAAMUZI HAYO🤝