
Sam dijen
@sam_mm3
Trading Shitcoin for a Living | sharing tips and solutions about shitcoin |wa.link/l5o4m6
ID: 1691195863429722112
https://chat.whatsapp.com/DwNVuiu6oUr9CHxnXbxORZ 14-08-2023 21:11:50
20,20K Tweet
11,11K Followers
5,5K Following









Samdijen Yaani ubaya wa hii ngoma ni kwamba ukitumia mda mwingi kukagua token unakuja kushtuka ni either imedump au ushachelewa kitambo maana ukiingia Dexscreener utaanza kuangalia Liquidity sijui socials mara Holders wapo wangapi nani kahold nyingi mambo ya Volume kama buyers wengi nini

Dogo wa Nonde No bro sio kwa siku moja saici Nina miezi kama 8 since nimenza kujifunza,😂💔 lakini hakuna progress kaz ni kudeposit TU Ani pia nahix katika hii industry mchawi ni machimbo na uwe na mtaji wa mkubwa ila ivi $10 vyetu kuvioandisha ni kasheshe sana aiseeh🙌

Dogo wa Nonde Hivyo vyote havina msingi Tumia axiom kuangalia kila kitu in simple way Pia holders number haina umuhimu , pia kama LP iko banned 100% hakuna kuangalia liquidity na kuhusu volume just deal na volume bars achana na buyers na sellers.







