P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile
P'site Shio

@psiteshio1

Website designer, Founder at Kinange Company, Passionate graphics design & crypto educator, make your first $ online

ID: 1220787700069998599

linkhttps://wa.me/+255623322998 calendar_today24-01-2020 19:18:03

103,103K Tweet

41,41K Takipçi

1,1K Takip Edilen

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth. Watu wa Giza hawaanzi biashara zao bila kuogea madawa au kuweka madawa kwenye lango kabla ya kufungua biashara na mengineyo Wewe mtu wa nuru usikae kizembe, itia damu ya Yesu kwenye biashara yako, Kiti chako, bidhaa zako nk

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Moja ya Jambo ninalofanya kwasasa ni kuhakikisha maskini wanaendelea kuwa maskini. Yaani kwakifupi maskini wasije wakajua jikoni.

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Leo ndio nimeshika 100k yangu mwenyewe kwa poamoja toka huu mwaka uanze, ndugu Watanzania niombeeni maisha yangu yameharibika.

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Mimi nimesoma mwanzo mpaka ufunuo sijaona shetani akiokoa binadamu popote pale. Mungu alimuokoa Noah na familia yake, alimuokoa Lutu , aliwaokoà waisrael na anatuokoa hata sasa.

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Kutoka 20:6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu. Nionyeshe mahali shetani anarehemu hata mmoja. Shetani ukimpenda anakukata kichwa

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Mama anawapa 5M mkifunga goli 1. Yaani unalipwa baada ya kazi. Wewe unarudisha 100M kiulainii. Kweli misaada mingine ni mtego.

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Redmi y6 Redmi note 9 Redmi 10C Redmi note 11 Redmi note 12 pro Redmi note 13 Redmi note 13 pro 5G Redmi note 14 Who is next? RADMI NOTE 15 PRO 5G

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Ghalib Said Mohamed utajiri wake unakadiriwa kufikia $800M na ana miaka 39 Tu. Hivi Mimi nakwama wapi? Kanipita mwaka mmoja lakini kila siku narudi nyumbani saa 6 za usiku, mwenye nyumba anadai Kodi.

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

Niko kwenye hiace Asubuhi hii naenda kufanya kibarua mahali,.. Ili ukifika jioni wanilipe pesa ambayo haitoshi kununua sabuni Kumbe Nchi hii inaliwa na watu wachache, wao hawafanyi kazi, wanachota pesa Sasa naamini Yale maneno niliyosikia utotoni kwamba NCHI IMEUZWA

P'site Shio (@psiteshio1) 's Twitter Profile Photo

KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO KULA KITIMOTO