
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu
@owm_sbu
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera.Bunge na Uratibu
S.L.P 980 DODOMA, Tanzania
[email protected]
ID: 1508515294200877063
http://www.pmo.go.tz 28-03-2022 18:45:04
3,3K Tweet
1,1K Followers
46 Following



MATUKIO KATIKA PICHA MSIBANI KWA HAYATI CLEOPA MSUYA DAR ES SAALAAM Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (SBU) Dkt. Jim Yonazi akitoa pole kwa wafiwa msibani kwa Hayati Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu nyumbani kwake Upanga Jijini Dar es Salaam.




