NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile
NCCR Mageuzi HQ

@nccrmageuzihq

NCCR-Mageuzi ni chama cha siasa kilichosajiliwa mnamo Januari 21, 1993 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. |
[email protected]

ID: 748092020384759808

linkhttp://www.nccrmageuzi.or.tz calendar_today29-06-2016 09:53:31

1,1K Tweet

3,3K Takipçi

128 Takip Edilen

NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

📌 KONGAMANO LA MAGEUZI YA FIKRA Kuelekea #KongamanoLaMageuziYaFikra zimebakia siku 6. Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam. Kuanzia saa 3:00 Asubuhi. #UtuItikadiYetu #TheFutureIsBlue #TumeanzaUpyaaaa

📌 KONGAMANO LA MAGEUZI YA FIKRA

Kuelekea #KongamanoLaMageuziYaFikra zimebakia siku 6.

Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 
Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam.
Kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

#UtuItikadiYetu 
#TheFutureIsBlue 
#TumeanzaUpyaaaa
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

#KongamanoLaMageuziYaFikra Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam. Kuanzia saa 3:00 Asubuhi. #UtuItikadiYetu #TheFutureIsBlue #TumeanzaUpyaaaa

#KongamanoLaMageuziYaFikra

Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 
Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam.
Kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

#UtuItikadiYetu 
#TheFutureIsBlue 
#TumeanzaUpyaaaa
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

#KongamanoLaMageuziYaFikra Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam. Kuanzia saa 3:00 Asubuhi. #UtuItikadiYetu #TheFutureIsBlue #TumeanzaUpyaaaa

#KongamanoLaMageuziYaFikra

Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 
Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam.
Kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

#UtuItikadiYetu 
#TheFutureIsBlue 
#TumeanzaUpyaaaa
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

#KongamanoLaMageuziYaFikra 📌Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 📌Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam. 📌Kuanzia saa 3:00 Asubuhi. #UtuItikadiYetu #TheFutureIsBlue #TumeanzaUpyaaaa

#KongamanoLaMageuziYaFikra

📌Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 
📌Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam.
📌Kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

#UtuItikadiYetu 
#TheFutureIsBlue 
#TumeanzaUpyaaaa
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

Fuatilia alichokizungumza Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma Ndugu #EdwardSimbeye kufuatia kauli iliyotelewa na aliyekuwa Katibu Mkuu. #TheFutureIsBlue #UtuItikadiYetu #TumeanzaUpyaaaa

NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

“Tutazungumza Uhuru wa nchi yetu, miaka 30 ya Vyama vya Upinzani, Demokrasia ya Nchi yetu, Taifa letu na tutashauri nini kifanyike kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu, ili kuifanya Tanzania 🇹🇿 kuendelea kuwa mahali salama pa kuishi.” - #EdwardSimbeye #TumeanzaUpyaaaa

“Tutazungumza Uhuru wa nchi yetu, miaka 30 ya Vyama vya Upinzani, Demokrasia ya Nchi yetu, Taifa letu na tutashauri nini kifanyike kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu, ili kuifanya Tanzania 🇹🇿 kuendelea kuwa mahali salama pa kuishi.” - #EdwardSimbeye 

#TumeanzaUpyaaaa
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

📌 KONGAMANO LA MAGEUZI YA FIKRA Kuelekea #KongamanoLaMageuziYaFikra zimebakia siku 4. 📍Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 📍Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam. 📍Kuanzia saa 3:00 Asubuhi. Nyote mnakaribishwa! #UtuItikadiYetu #TheFutureIsBlue #TumeanzaUpyaaaa

📌 KONGAMANO LA MAGEUZI YA FIKRA

Kuelekea #KongamanoLaMageuziYaFikra zimebakia siku 4.

📍Tukutane, Tarehe 23 Julai 2022. 
📍Eneo: Kinondoni, Dar Es Salaam.
📍Kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

Nyote mnakaribishwa!

#UtuItikadiYetu 
#TheFutureIsBlue 
#TumeanzaUpyaaaa
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

SALAMU ZA POLE Tunaungana na Watanzania ulimwenguni kote katika maombolezo ya Msiba mzito kutokana na vifo vya watu kumi Mkoani Mtwara. Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu wote mahala pema peponi, Amina! #SalamuZaPole

SALAMU ZA POLE

Tunaungana na Watanzania ulimwenguni kote katika maombolezo ya Msiba mzito kutokana na vifo vya watu kumi Mkoani Mtwara.

Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu wote mahala pema peponi, Amina!

#SalamuZaPole
NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA! KILA LA HERI #KENYA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2022. Chama cha NCCR MAGEUZI (NCCR Mageuzi HQ) kinawatakia #Wakenya wote Uchaguzi wa Amani na Utulivu. Unaotarajia kufanyika leo, 9 Agosti 2022. Kila la heri Kenya! #KenyaDecides2022 #KenyaYaAmani #KenyansPoll

TAARIFA KWA UMMA!
KILA LA HERI #KENYA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2022.

Chama cha NCCR MAGEUZI (<a href="/nccrmageuzihq/">NCCR Mageuzi HQ</a>) kinawatakia #Wakenya wote Uchaguzi wa Amani na Utulivu. Unaotarajia kufanyika leo, 9 Agosti 2022.
Kila la heri Kenya!

#KenyaDecides2022 
#KenyaYaAmani 
#KenyansPoll
Tanzania Yangu 🇹🇿 (@tanzaniayangu7) 's Twitter Profile Photo

Pamoja na mahakama kudharauliwa Leo tarehe 6 October 2022, Kesi iliyofunguliwa na Wanachama wa NCCR Mageuzi HQ Ndugu #HemediMsabaha na #AnjelinaMutahigwa kuomba zuio la mahakama dhidi ya Mikutano ya #HalmashauriKuu, #KamatiKuu na #MkutanoMkuu itaendelea.

NCCR Mageuzi HQ (@nccrmageuzihq) 's Twitter Profile Photo

Ungana nasi Kupitia #Clubhouse siku ya Jumapili 9, Octoba kuanzia saa 1:30 usiku. Kufuatilia Moja kwa Moja (#Live) M/Kiti Ndg James F. Mbatia akizungumza kuhusu Katiba Mpya na kujibu maswali. #SautiYaWatanzania #KatibaMpyaNiSasa #UtuItikadiYetu Bofya link ✅ clubhouse.com/join/sauti-ya-…