. (@mwizukulu87) 's Twitter Profile
.

@mwizukulu87

ID: 1347112158

calendar_today12-04-2013 15:52:22

26,26K Tweet

1,1K Takipçi

1,1K Takip Edilen

davidmcallister (@davidmcallister) 's Twitter Profile Photo

150 days behind bars. 8 years after surviving an assassination attempt. Tundu Lissu still stands for justice and democracy in Tanzania. We call for his immediate release as well as for free and fair elections on 29 October 2025! #FreeTunduLissu

150 days behind bars.

8 years after surviving an assassination attempt.

Tundu Lissu still stands for justice and democracy in Tanzania.

We call for his immediate release as well as for free and fair elections on 29 October 2025!

#FreeTunduLissu
M.D (🅨) (@regantesla_) 's Twitter Profile Photo

It's true WE HAVE FAMILIES TO FEED!!! But tuwalishe vya halali sio haramu wala vya kunyonga wala vya kupora.. ✊🏾 TUISHI

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Tunakoelekea itabidi tutambuane na kuheshimiana kwa kadri ya uadilifu na utu wetu. Kama unasapoti au kujihusisha na dola katili la mbogamboga, automatically wewe ni mshenzi, si mwenzetu, na utatakiwa utukatae🙏🏽

Rose Mayemba (@rose_mayemba) 's Twitter Profile Photo

Kwa kuwa hawakukuua kwa RISASI, hata hili kusudi lao la kutaka kukuua kwa kukubambikiza kesi ya UONGO ambayo hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa haitafanikiwa. Hatujarudi nyuma, ujasiri wako unatupa sababu ya kuzidi kupambana pasipo kukata tamaa. #NoReformNoElection

Kwa kuwa hawakukuua kwa RISASI, hata hili kusudi lao la kutaka kukuua kwa kukubambikiza kesi ya UONGO ambayo hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa haitafanikiwa.
Hatujarudi nyuma, ujasiri wako unatupa sababu ya kuzidi kupambana pasipo kukata tamaa.
#NoReformNoElection
Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

#BreakingNews Jeshi la Polisi limezingira ofisi za Tanganyika Law Society(TLS) na kufunga barabara zote za kuelekea katika ofisi hiyo na kuzuia watu kufika eneo hilo, ambapo tulikusudia kuadhimisha #ChademaMashujaaDay kuwakumbuka wahanga wa kupigania haki na demokrasia nchini.

#BreakingNews Jeshi la Polisi limezingira ofisi za <a href="/TanganyikaLaw/">Tanganyika Law Society(TLS)</a>  na kufunga barabara zote za kuelekea katika ofisi hiyo na kuzuia watu kufika eneo hilo, ambapo tulikusudia kuadhimisha #ChademaMashujaaDay kuwakumbuka wahanga wa kupigania haki na demokrasia nchini.
Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

#Updates Kutokana na Jeshi la Polisi kuzingira ofisi za Tanganyika Law Society(TLS) kuzuia maadhimisho ya #ChademaMashujaaDay, viongozi wakuu wa Chama wanashauriana tutatoa taarifa na uelekeo wa tukio hilo.

#Updates Kutokana na Jeshi la Polisi kuzingira ofisi za <a href="/TanganyikaLaw/">Tanganyika Law Society(TLS)</a> kuzuia maadhimisho ya #ChademaMashujaaDay, viongozi wakuu wa Chama wanashauriana tutatoa taarifa na uelekeo wa tukio hilo.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi limezingira Kanisa Katoliki Kirumba, Mwanza ambapo Chadema Kanda ya Victoria walikusudia kuadhimisha #ChademaMashujaaDay katika ukumbi wa Kanisa hilo, mpaka sasa watu kadhaa wamekamatwa akiwemo Zacharia Obad katibu wa Kanda ya Victoria.

Jeshi la Polisi limezingira Kanisa Katoliki Kirumba, Mwanza ambapo Chadema Kanda ya Victoria walikusudia kuadhimisha #ChademaMashujaaDay katika ukumbi wa Kanisa hilo, mpaka sasa watu kadhaa wamekamatwa akiwemo Zacharia Obad katibu wa Kanda ya Victoria.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#MashujaaDay Leo imetimia miaka 8 tangu Mhe. Lissu ashambuliwe kwa sirasi 37 ambapo risasi 16 ziliingia mwili mwake. Mpaka leo hakuna Uchunguzi wowote ambao umefanyika juu ya shambulio hili. Tunamshukuru Mungu ambae alimponya shujaa wetu ile siku maana bila mkono wa Mungu

#MashujaaDay

Leo imetimia miaka 8 tangu Mhe. Lissu ashambuliwe kwa sirasi 37 ambapo risasi 16 ziliingia mwili mwake.

Mpaka leo hakuna Uchunguzi wowote ambao umefanyika juu ya shambulio hili.

Tunamshukuru Mungu ambae alimponya shujaa wetu ile siku maana bila mkono wa Mungu
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Leo tunamkumbuka Alphonce Chemu Mawazo, shujaa wa CHADEMA aliyejitolea maisha yake kupigania haki na demokrasia. Mawazo alisimama imara kupinga udhalimu na ukandamizaji. Kifo chake kilikuwa jeraha kubwa, lakini pia urithi wa ujasiri kwa kizazi hiki na kijacho. Mtoto wake

Leo tunamkumbuka Alphonce Chemu Mawazo, shujaa wa CHADEMA aliyejitolea maisha yake kupigania haki na demokrasia.

Mawazo alisimama imara kupinga udhalimu na ukandamizaji. Kifo chake kilikuwa jeraha kubwa, lakini pia urithi wa ujasiri kwa kizazi hiki na kijacho.

Mtoto wake
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

#BreakingNews Katibu wa kanda ya Serengeti Jackson Mnyawami na viongozi wa wilaya na majimbo ya mkoa wa Shinyanga wamekamatwa Jeshi la Polisi wakiwa kijiji cha Ukenyenge walipokuwa wameenda kusafisha kaburi la Marehemu Bob Makani na kuisalimia familia yake.

Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

Bango la kumuenzi shujaa Mdude Nyagali na Shadrack Chaula linapita kula Kona ya Mkoa wa Mbeya, huku wananchi maeneo mbalimbali wakishangilia wengine wakiangua vilio, #MashujaaDay.

Bango la kumuenzi shujaa Mdude Nyagali na Shadrack Chaula linapita kula Kona ya Mkoa wa Mbeya, huku wananchi maeneo mbalimbali wakishangilia wengine wakiangua vilio, #MashujaaDay.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Bango la kumuenzi shujaa Mdude Nyagali na Shadrack Chaula linapita kula Kona ya Mkoa wa Mbeya, huku wananchi maeneo mbalimbali wakishangilia wengine wakiangua vilio, #ChademaMashujaaDay #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Bango la kumuenzi shujaa Mdude Nyagali na Shadrack Chaula linapita kula Kona ya Mkoa wa Mbeya, huku wananchi maeneo mbalimbali wakishangilia wengine wakiangua vilio, #ChademaMashujaaDay 

#NoReformsNoElection 

#TUTAKUWEPO🫵🏾😎