Leonard Kihade (@mwakihade) 's Twitter Profile
Leonard Kihade

@mwakihade

Love is My Religion ♥️

ID: 857880042835247104

calendar_today28-04-2017 08:51:55

16,16K Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

Bwana, linda watu wako uliowaumba kwa sura na mfano wako. Kama vile wanavyojiinua kati yao mbele zetu, vivyo hivyo nawe ujiinue na kujitukuza kati yetu mbele zao. Ili nao wakujue wewe kama sisi tukujuavyo, ya kwamba hakuna uovu wowote kwake yeye uliye ngome yake.

Bwana, linda watu wako uliowaumba kwa sura na mfano wako. Kama vile wanavyojiinua kati yao mbele zetu, vivyo hivyo nawe ujiinue na kujitukuza kati yetu mbele zao. Ili nao wakujue wewe kama sisi tukujuavyo, ya kwamba hakuna uovu wowote kwake yeye uliye ngome yake.
Ms Bee🌹 (@iamcleopatricia) 's Twitter Profile Photo

Wametumwa waje kuchukua asali na boss wao nikawalambisha kwanza afu nikawaambia shikeni hizo dumu na mim niwalambe picha moja nimtumie boss wangu😁😁 Anywei wewe dada ulonipa oda leo uishi sana agh boss mkubwa sana wewe❤️❤️ Zoezi la kulamba asali lipo live hapo kkoo festival

Wametumwa waje kuchukua asali na boss wao nikawalambisha kwanza afu nikawaambia shikeni hizo dumu na mim niwalambe picha moja nimtumie boss wangu😁😁

Anywei wewe dada ulonipa oda leo uishi sana agh boss mkubwa sana wewe❤️❤️

Zoezi la kulamba asali lipo live hapo kkoo festival
John kalage 🇹🇿 (@kalage_jr) 's Twitter Profile Photo

Mwanaume kabla ya kuoa anahitaji Background ya mwanamke na sio future yake, na mwanamke kabla ya kuolewa anahitaji Future ya mwanaume nasio background yake. Kuna mzee ameshukia mwenge alikua anatuambia hapa kwenye Daladala.

Alexander (@alesandrojr) 's Twitter Profile Photo

Baba Yetu uliye mbinguni. Jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni. Utupe leo mkate wetu wa kila siku. Utusamehe makosa yetu. Kama nasi tunavyowasamehe na sisi waliotukosea. Usitutie katika kishawishi. Lakini utuopoe maovuni, Amina🙏

Baba Yetu uliye mbinguni. Jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.

Utupe leo mkate wetu wa kila siku. Utusamehe makosa yetu. Kama nasi tunavyowasamehe na sisi waliotukosea. Usitutie katika kishawishi. Lakini utuopoe maovuni, Amina🙏
Adventure-360 (@adventure_36) 's Twitter Profile Photo

Ikitokea ajali ya gari ya IT nani anatakiwa kulipa fidia ya matengenezo ya gari, ni dereva?, mawakala? Au ndo imekula kwa mwenye gari? Watu wengi wanauliza endapo ikitokea ajali ya gari za IT nani haswa anapaswa kubeba hasara za gari hiyo? Fahamu machache hapa chini, 👇

Ikitokea ajali ya gari ya IT nani anatakiwa kulipa fidia ya matengenezo ya gari, ni dereva?, mawakala? Au ndo imekula kwa mwenye gari?

Watu wengi wanauliza endapo ikitokea ajali ya gari za IT nani haswa anapaswa kubeba hasara za gari hiyo?
Fahamu machache hapa chini,
👇