TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile
TEHSA-MUHAS

@muhas_tehsa

TANZANIA ENVIRONMENTAL HEALTH STUDENTS ASSOCIATION (TEHSA) Promoting environmental health🍀 for healthy and safe communities. 📧 [email protected]

ID: 1358139746896252934

calendar_today06-02-2021 19:46:57

139 Tweet

190 Takipçi

230 Takip Edilen

TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

We are super excited to announce Hussein Mohamed PH Knowledge Hub as our official sponsor.🤩💥 Hussein Mohamed PH Knowledge Hub is dedicated to promoting public health awareness, education, and training, all aimed at enhancing community health outcomes. Hussein Mohamed

We are super excited to announce Hussein Mohamed PH Knowledge Hub as our official sponsor.🤩💥

Hussein Mohamed PH Knowledge Hub is dedicated to promoting public health awareness, education, and training, all aimed at enhancing community health outcomes.

<a href="/Hussein19089524/">Hussein Mohamed</a>
Zahoro Ally (@zahoroally5) 's Twitter Profile Photo

Wakimbiaji wa 10KM, mjisajili sasa.🤩🥳 tehsa.tukiio.com/event/walkathon Jinsi ya kujisajiri🥳🥳 1. Gusa link.👆🏽 2. Nenda kwenye Buy. 3. Chagua ushiriki (student or non student) 4. Agree terms and conditions. 5. Jaza taarifa zako binafsi. 6. Fanya malipo na kupata ticketi.

Wakimbiaji wa 10KM, mjisajili sasa.🤩🥳

tehsa.tukiio.com/event/walkathon
Jinsi ya kujisajiri🥳🥳
1. Gusa link.👆🏽
2. Nenda kwenye Buy.
3. Chagua ushiriki (student or non student)
4. Agree terms and conditions.
5. Jaza taarifa zako binafsi.
6. Fanya malipo na kupata ticketi.
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Happy Commemoration of World Environment day. “Revive the Earth: Restore land, Rebuild Biodiversity, Recharge Climate” 5 June 2025. #WorldEnvironmentday. #Endplasticpollution #Rechargeclimate

Happy Commemoration of World Environment day.

“Revive the Earth: Restore land, Rebuild Biodiversity, Recharge Climate”

5 June 2025.

#WorldEnvironmentday.
#Endplasticpollution
#Rechargeclimate
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Yesterday, in commemoration of World Environment Day, We had a wonderful opportunity to plant trees together around the MUHAS campus— a meaningful step toward land restoration and climate action. #WorldEnvironmentDay #ClimateResilience #LandRestoration

Yesterday, in commemoration of World Environment Day,

We had a wonderful opportunity to plant trees together around the MUHAS campus—
a meaningful step toward land restoration and climate action.

#WorldEnvironmentDay
#ClimateResilience
#LandRestoration
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

28 June tunakutana kwenye matembezi ya hisani kama kawaida.🤩🔥 TehsaWalkathon kwenye ubora mara 10 zaidi kuliko mwanzo.🥳 Gusa link kujisajili na upate ticketi yako. tehsa.tukiio.com/event/walkathon #TehsaWalkathon #Awalktosavelives. #Hatuamojakuokoamaisha

28 June tunakutana kwenye matembezi ya hisani kama kawaida.🤩🔥

TehsaWalkathon kwenye ubora mara 10 zaidi kuliko mwanzo.🥳

Gusa link kujisajili na upate ticketi yako.

tehsa.tukiio.com/event/walkathon

#TehsaWalkathon
#Awalktosavelives.
#Hatuamojakuokoamaisha
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Tunatoa shukrani zetu za dhati kwa Prof. Enic Richard - Principal college of Medicine MUHAS, kwa kuitikia wito wa mgeni rasmi kumuwakilisha makamu mkuu wa chuo cha Muhimbili katika tukio letu la Tehsa Walkathon. Tunasema asante sana. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha”

Tunatoa shukrani zetu za  dhati kwa Prof. Enic Richard - Principal college of Medicine MUHAS, kwa kuitikia wito wa mgeni rasmi kumuwakilisha makamu mkuu wa chuo cha Muhimbili katika tukio letu la Tehsa Walkathon.

Tunasema asante sana.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha”
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Tunashukuru kwa uwepo wako Dr. Hussein Mohamed kama Mlezi wa chama cha wanafunzi wa afya mazingira na Mwenyekiti wa Baraza la Wataalamu wa Afya mazingira Tanzania. Siku zote tunajivunia uwepo wako. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto” #tehsawalkathon2025

Tunashukuru kwa uwepo wako Dr. Hussein Mohamed kama Mlezi wa chama cha wanafunzi wa afya mazingira na Mwenyekiti wa Baraza la Wataalamu wa Afya mazingira Tanzania.

Siku zote tunajivunia uwepo wako.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

#tehsawalkathon2025
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Tunashukuru kwa uwepo wako Dr. Maryam Khamis kama Mlezi na mshauri wa karibu wa chama cha wanafunzi wa afya mazingira Tanzania. Siku zote tunajivunia uwepo wako. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto” #tehsawalkathon2025 #Walktosavelives #Asantesana

Tunashukuru kwa uwepo wako Dr. Maryam Khamis kama Mlezi  na mshauri wa karibu wa chama cha wanafunzi wa afya mazingira Tanzania.

Siku zote tunajivunia uwepo wako.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

#tehsawalkathon2025
#Walktosavelives
#Asantesana
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Wadhamini wakubwa kabisa kutoka UniChampions walikuwepo pia. Tunajivunia uwepo wenu. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto” #tehsawalkathon2025 #Walktosavelives #Asantesana #Sponsorforhealthierfuture

Wadhamini wakubwa kabisa kutoka <a href="/unichampions/">UniChampions</a> walikuwepo pia. 

Tunajivunia uwepo wenu.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

#tehsawalkathon2025
#Walktosavelives
#Asantesana
#Sponsorforhealthierfuture
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Tunashukuru kwa udhamini kutoka Ubepari PC Company. Tunajivunia uwepo wenu. Kufahamu zaidi wanajihusisha na nini gusa hapa kutembelea akaunti zao Ubepari PC Company “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto” #tehsawalkathon2025

Tunashukuru kwa udhamini kutoka <a href="/Ubepari_pc/">Ubepari PC Company</a>. 

Tunajivunia uwepo wenu.

Kufahamu zaidi wanajihusisha na nini gusa hapa kutembelea akaunti zao 
<a href="/Ubepari_pc/">Ubepari PC Company</a> 

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

#tehsawalkathon2025
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Wadau wakubwa na wa kipekee kutoka My Health Jogging Team walikuwepo. Tulikuwa na trainer mwenye ujuzi wa viwango vya juu sana kutoka kwao, tunawashukuru sana. Tunajivunia uwepo wenu. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto” #tehsawalkathon2025 #Walktosavelives

Wadau wakubwa na wa kipekee kutoka <a href="/myhealthjogging/">My Health Jogging Team</a> walikuwepo.

Tulikuwa na trainer mwenye ujuzi wa viwango vya juu sana kutoka kwao, tunawashukuru sana.

Tunajivunia uwepo wenu.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

#tehsawalkathon2025
#Walktosavelives
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Matembezi bila maji hayo siyo matembezi.🤩 Tunawashukuru sana wadhamini kutoka afyadrinks kwa support ya maji katika tukio letu la Tehsa walkathon. Tunajivunia sana uwepo wenu. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

Matembezi bila maji hayo siyo matembezi.🤩

Tunawashukuru sana wadhamini kutoka  afyadrinks kwa support ya maji katika tukio letu la Tehsa walkathon.

Tunajivunia sana uwepo wenu.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Team kubwa kutoka Basil TV ilikuwepo pia, tunawashukuru wa support yenu. Tunajivunia sana uwepo wenu. “Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto” #tehsawalkathon2025 #Walktosavelives #Asantesana #Sponsorforhealthierfuture #Kimbianaafisaafya.

Team kubwa kutoka Basil TV ilikuwepo pia, tunawashukuru wa support yenu.

Tunajivunia sana uwepo wenu.

“Hatua moja na afisa afya, kuokoa maisha ya mama na mtoto”

#tehsawalkathon2025
#Walktosavelives
#Asantesana
#Sponsorforhealthierfuture
#Kimbianaafisaafya.
TEHSA-MUHAS (@muhas_tehsa) 's Twitter Profile Photo

Asante kwa kushiriki. Kila hatua uliyo piga ni mchango katika kuokoa maisha ya mama na mtoto. “Kimbia, tembea na afisa afya kuokoa maisha ya mama na mtoto.” #TehsaWalkathon2025.

Asante kwa kushiriki.

Kila hatua uliyo piga ni mchango katika kuokoa maisha ya mama na mtoto.

“Kimbia, tembea na afisa afya kuokoa maisha ya mama na mtoto.”

#TehsaWalkathon2025.