Maulid Kitenge
@mshambuliaji
HEAD OF SPORTS WASAFI FM
ID:961928330
http://maulidkitenge.com 21-11-2012 07:19:36
54,8K Tweets
1,4M Followers
351 Following
Follow People
Wananchi wametinga hatua ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Federation Cup) kufuatia ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya Tabora United katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
FT: Yanga SC 3-0 Tabora United
⚽ Azizi Ki 35'
⚽ Musonda 66'
⚽ Guede 83'
#KitengeSports
66' GOOOAL Kennedy Musonda anaifungia Yanga Sc bao la pili baada ya nyanda wa Tabora United kuutema shuti maridadi la Joseph Guede
Yanga Sc 2-0 Tabora United
#KitengeSports
Wananchi wanaelekea mapumzikoni vifua mbele dhidi ya Nyuki wa Tabora United katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
HT: Yanga Sc 1-0 Tabora United
⚽ Aziz Ki 35'
Ni katika mchezo wa robo fainali ya kombe la Shirikisho la (CRDB CRDB Federation Cup)
#KitengeSports
Bango la Chama cha Wafanyakazi cha TALGWU Katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Leo hii Jijini Arusha kwenye Maadhimisho ya Kitaifa✍️
#KitengeUpdates
Heri ya sikukuu ya Wafanyakazi kwa watanzania wote wanaochapa kazi na kuzipenda kazi zao.
#HappyLaborDay
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili katika uwanja wa Gombani kwaajili ya Maadhimisho ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) leo tarehe 01 Mei, 2024.
#KitengeUpdates