Mr Mushi
@mrmushico
ID:1512519916934598667
https://www.instagram.com/mrmushico 08-04-2022 19:57:24
16,1K Tweets
1,8K Followers
1,3K Following
Katika mwaka wa fedha uliopita, serikali ilikusanya shilingi bilioni 678 kupitia maduhuri. Hata hivyo, hii ni 16% tu ya uwezo wetu wa kipekee. Tuna matumaini ya kuona ongezeko kubwa mwaka huu~ Anthony Mavunde, Waziri wa Madini
#BajetiMadini
#MadiniNiMaishaNaUtajiri
👞
Size: 39 - 46
Bei: 120,000/= badala ya 150,000/=
📞: 0693688961
WhatsApp: 0743931620
DM Dream_ online shop.
Mhe Anthony Mavunde waziri Wizara ya Madini amesema moja ya malengo ya wizara hii ni kufanya utafiti wa kina zaidi wa Jiofizikia kufikia angalau 50% ifikapo mwaka 2030. #BajetiMadini #MadiniNiUtajiri .
“Wizara itaendelea na juhudi za kuwaendeleza wachimbaji wadogo kwa kutoa mafunzo ya mara kwa mara kuhusu masuala muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa shughuli za madini ikiwemo:-
#MadiniNiMaishaNaUtajiri
Lengo ni kuongeza ufanisi na kutimiza malengo ya biashara yako kifedha. Ukiwa na mfumo sahihi kama Simplify VFD ni rahisi kufanikisha.
#SimplifyVFD
#NiZaidiYaRisiti
Umewahi kuhisi unahitaji mkopo lakini bahati mbaya hujui unaanzia wapi, sasa sikia hakuna chimbo la mikopo kama hili Soft Finance hawa jamaa wapo serious sana na kazi yao , ukihitaji mkopo wacheki wao ni ndani ya dakika 45 tu!! Unapata mkopo wako. #SoftFinance #MpangoPesa .👇👇
Serikali inakaribisha wawekezaji wa ndani na nje kufungua viwanda vya kutengeza bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa kwa madini yanayopatikana nchini. Mfano:
• Madini chuma
• Uranium
• Madini ya vito i.e almasi, tanzanite,
#BajetiMadini
#MadiniNiMaishaNaUtajiri
Kuwajengea uwezo wamiliki wa leseni ya uchimbaji
Wizara ya madini imeandaa mpango wa kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo kupitia programu za mafunzo standi na kuzitambua Leseni zao ili walate mikopo na vifaa vya uchimbaji
#BajetiMadini #MadiniNiMaishaNaUtajiri
Wizara ya Wizara ya Madini imeandaa mpango wa kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo kupitia programu za mafunzo stadi na kuzitambua Leseni zao ili kupata mikopo na vifaa vya uchimbaji kwa urahisi~ Anthony Mavunde
#BajetiMadini
#MadiniNiMaishaNaUtajiri
Katika mwaka wa fedha uliopita, serikali ilikusanya shilingi bilioni 678 kupitia maduhuri. Hata hivyo, hii ni asilimia 16 tu ya uwezo wetu wa kipekee. Tuna matumaini ya kuona ongezeko kubwa mwaka huu #BajetiMadini #MadiniNiMaishaNaUtajiri
Anthony Mavunde
'Malengo ya Wizara ni kufanya utafiti wa kina wa jiofizikia kufikia angalau 50% ifikapo 2030' ~ Anthony Mavunde , Waziri wa Madini
#BajetiMadini
#MadiniNiMaishaNaUtajiri