
Ministry of Finance Tanzania
@mofurt
Official Page of the Ministry of Finance of Tanzania | Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Fedha Tanzania.
ID: 1392509359633096706
https://mof.go.tz 12-05-2021 15:58:11
3,3K Tweet
14,14K Takipçi
97 Takip Edilen



Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb)(kulia), akizungumza na Waziri wa Fedha wa Malawi, Mhe. Simplex Chithyola Banda, ndani ya Jengo la Makao Makuu ya Benki ya Dunia, Jijini Washington D.C, wakati wa mikutano ya mwaka 2025 ya majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha



Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), ametoa rai kwa nchi zilizoendelea kupunguza gharama za mikopo na kutoa muda mrefu wa kulipa madeni ili kuziwezesha nchi zinazoendelea zikiwemo za Afrika kutekeleza miradi ya maendeleo itakayochochea ukuaji wa uchumi na maisha ya


Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), amesema kuwa Tanzania iko tayari kushirikiana na wadau mbalimbali zikiwemo serikali, mashirika ya kimataifa, sekta binafsi na asasi za kiraia ili kutafsiri kwa vitendo ahadi za Beijing+30 kuelekea Mkutano wa Nne wa Kimataifa


Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), akiangalia bendera ya Tanzania katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN), Jijini New York, nchini Marekani, alipohudhuria Jukwaa la Ufadhili wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2025 (ECOSOC Forum on Financing for


Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), akiwa katika Ubalozi wa Tanzania Jijini NewYork nchini Marekani ambapo aliongoza Ujumbe wa Tanzania kushiriki Jukwaa la Ufadhili wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2025 (ECOSOC Forum on Financing for Development Follow-Up






Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), amefika kuhani msiba wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu, na ambaye pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (1973–1975) na Waziri wa Fedha na Uchumi (1986–1989),


Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), akiteta jambo na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Mapinduzi-Zanzibar, Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed, wakiwa katika Makazi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri


Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), akiteta jambo na Mbunge wa Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro, Mhe. Joseph Anania Taday, wakiwa katika Makazi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu, na ambaye pia aliwahi


Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akisalimiana na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), walipofika kuhani msiba wa aliyekuwa Makamu wa wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu, na
