Mnazi😤 (@mnazi36) 's Twitter Profile
Mnazi😤

@mnazi36

Bman

ID: 3370919933

calendar_today11-07-2015 15:42:31

8,8K Tweet

1,1K Takipçi

1,1K Takip Edilen

Mnazi😤 (@mnazi36) 's Twitter Profile Photo

D14 Alsaed, anaibrand sana Iringa chuma zote zinazopiga route ya Iringa nyuma hazikosi watu maarufu wa Iringa, Salam au sehemu maarufu toka Iringa🔥🔥💪

D14 Alsaed, anaibrand sana Iringa chuma zote zinazopiga route ya Iringa nyuma hazikosi watu maarufu wa Iringa, Salam au sehemu maarufu toka Iringa🔥🔥💪
𝗭𝗛𝗢𝗡𝗚𝗧𝗢𝗡𝗚 𝗕𝗨𝗦| 中通 客車🇹🇿 (@climberjet) 's Twitter Profile Photo

📍Kilwa Ukiwa kama mwandamu usiogope Kifo kwa sababu ni wajibu, ila boresha Nafsi yako na tenda wema, ishi kwa upendo acha dhulma ya aina yeyote ile ili kifo kinapokuja uondoke Vizuri hapa Duniani. #mega #climber

📍Kilwa

Ukiwa kama mwandamu usiogope Kifo kwa sababu ni wajibu, ila boresha Nafsi yako na tenda wema, ishi kwa upendo acha dhulma ya aina yeyote ile ili kifo kinapokuja uondoke Vizuri hapa Duniani.

#mega #climber
Mnazi😤 (@mnazi36) 's Twitter Profile Photo

Majirani 🇰🇪 washa anza kurogwa na mchina ilikua Swala la muda ,,, na zile gonga nyundo zao wakikutana na Tv Nchi 32 ya Mega hawata chomoka hapa amini nawaambia KDU 444L&M

Majirani 🇰🇪 washa anza kurogwa na mchina ilikua Swala la muda ,,, na zile gonga nyundo zao wakikutana na Tv Nchi 32 ya Mega hawata chomoka hapa amini nawaambia KDU 444L&M
Mnazi😤 (@mnazi36) 's Twitter Profile Photo

Ukitaka kujua Duniani hakuna jipya tusha rudi kwenye kuvaa mabwanga,, we ona wasanii saivi hamna kuvaa vimodo ni mwendo wa Over size🙄

Mnazi😤 (@mnazi36) 's Twitter Profile Photo

Atoke mkurugenzi hata mmoja athamini mchango wetu akatuandika wanazi nyuma ya basi zake Au mnasemaje tuna mchango mkubwa sana hawajui tu

Atoke mkurugenzi hata mmoja athamini mchango wetu akatuandika wanazi nyuma ya basi zake

 Au mnasemaje tuna mchango mkubwa sana hawajui tu
Mnazi😤 (@mnazi36) 's Twitter Profile Photo

Mbeya hiki kipande cha kutoka Meta mpaka Iyunga kinaajali sana,,,, lory kufeli break ndio sababu za kila siku,, sijui pana shida gani pale

Mbeya hiki kipande cha kutoka Meta mpaka Iyunga kinaajali sana,,,, lory kufeli break ndio sababu za kila siku,, sijui pana shida gani pale