
Omar Kashera
@mjengaomar
Diplomat, National Defence College Graduate and Awardee of the Most Prestigous “ndc” Symbol on Security and Strategic Studies, UN International Staff, CEO-CIP.
ID: 513628124
http://www.cipafrica.org 03-03-2012 21:34:52
10,10K Tweet
5,5K Followers
3,3K Following









#DIPLOMASIA: Marekani chini ya utawala wa Rais Donald J. Trump imepanga kufunga Balozi na Balozi ndogo karibia 30. 60% ya Balozi hizo zipo Bara la Afrika ikiwamo ule wa Afrika Kusini. Upatikanaji wa Visa ya Marekani sasa kuwa mgumu sana. Je, Afrika tunajifunza nini na hilo?✍️✍️


In Nov last year, when Trump Donald J. Trump won his bounced 2nd term, signs of the End of Globalization started to appear. Localization took stage and it is now official that globalization came to an end on 2nd April 2025 with the impossed tariffs. Africa this is an opportunity

#DRC: Rais wa zamani wa Kongo Joseph Kabila Kabange ameingia rasmi mji wa Goma, ambao uko chini ya M23/AFC. Mtakumbuka niliwahi kuandika kuwa Kabila, Katumba na Kamele ni watu wa kuwafuatilia kwa karibu sana. Kufika kwa Kabila Goma kuna ujumbe mzito kwa Félix A. Tshisekedi na Uongozi wa Kinshasa



Taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali 2023/24 Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu Zanzibar inasema kuwa Serikali ina TZS 10Trillion zilizokwama kwenye kesi 1,186 ktk mahakama za TRAT & TRAB. Kama kesi hizi hazitasikilizwa na kuamuliwa mapema, huenda zikaathiri utekelezaji wa Bajetu Kuu ya Serikali.


Leo saa nne usiku, nitahojiwa na shirika la habari la Uingereza, BBC BBC News (World) BBC News Swahili kuhusu yanayoendelea huko DRC na kurejea kwa Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila Kabange baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka sita. Je, ni nini matarajio ya Kabila? Kurejea madarakani? Fuatilia✍️




