Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile
Dr Lwaitama

@lwaitama1

Tanzanian by name Dr Hezron Lwaitama dr of facial plastic and reconstructive surgery at the Johns Hopkins University School of Medicine Phone :+1(301)366-9612

ID: 1502300856351440896

calendar_today11-03-2022 15:10:21

1,1K Tweet

6,6K Followers

36 Following

My64impala๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ (@comanchechiefiv) 's Twitter Profile Photo

Andrew Nyerere ile miaka ya 1990s akiwa kijana wa ku party kwenye clubs, alikuwa akifanya fujo halafu police wakianza kumtafuta alikuwa anakwenda nyumbani kwa RPC wa Dar miaka ile yaani RPC Tryphon Maji pale A. H. Mwinyi Rd jirani na Kaunda Drive. Basi police wanakuwa wa pole tu.

Andrew Nyerere ile miaka ya 1990s akiwa kijana wa ku party kwenye clubs, alikuwa akifanya fujo halafu police wakianza kumtafuta alikuwa anakwenda nyumbani kwa RPC wa Dar miaka ile yaani RPC Tryphon Maji pale A. H. Mwinyi Rd jirani na Kaunda Drive. Basi police wanakuwa wa pole tu.
Tanzania Abroad TV (@abroadtanzania) 's Twitter Profile Photo

Dalili moja yapo ya Ushindi ni Taasisi za Serekali kuanza uoga dhidi ya watu wake ! Kwenye comments hadi polis wameanza kufunga comments

Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Maskini wanatumika kuwatisha maskini wenzao kwa manufaa ya watawala (matajiri),,hata kipindi Cha ukoloni ilikua hivihivi,,nyapara walitumika kuwanyamazisha waafrika wenzao kwa manufaa ya wakoloni

Maskini wanatumika kuwatisha maskini wenzao kwa manufaa ya watawala (matajiri),,hata kipindi Cha ukoloni ilikua hivihivi,,nyapara walitumika kuwanyamazisha waafrika wenzao kwa manufaa ya wakoloni
Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Hakuna Mwanajeshi pekee yake anaweza kutoka hadharani na kutoa kauli Hii, akiwa Pekee yake ni kwamba Tanzania tujiandae kwa lolote na ilibidi kwa hali ilivyo

Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 29/10/2025 Hatuendi kwa ajili ya kupambana na polisi. Tunaenda kuchukuwa madaraka tuliowapa hawa watawala ambao wameshindwa kuongoza. Ibara ya 8 ya katiba. Mamlaka yote ni mali ya wananchi.

Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Katika ukweli Tanzania ya Sasa unapendelea baada ya Samia kuachia madaraka kwa nguvu ya Umma Nani awe rais? Najua hakuna uchaguzi na Samia anapinduliwa soon

Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Mzee Butiku ametishwa maana kaambiwa kwamba aombe radhi naona Warioba tu ndo kabaki na msimamo wake Kaa tayari kabla ya Tarehe 29 nchi inakuwa mikono salama

Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Kuna muda magari ya Kikwete na Samia yatachomwa moto live! Ngoja tuendelee kuwa macho Huyu ni Mwanachama wa Chadema ambaye amepigwa na polis

Kuna muda magari ya Kikwete na Samia yatachomwa moto live! Ngoja tuendelee kuwa macho

Huyu ni Mwanachama wa Chadema ambaye amepigwa na polis
Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Kuna watu wanamshangaa Polepole kwa kufanya yote aliyoyafanya akiwa hapa hapa Tanzania, wanaona kama alikosea. Hii nchi ni ya watanzania na Polepole ni mtanzania, mlitaka aende nchi gani? Kwa kifupi vijana wa Tanzania ni waoga kuliko wazee na wanawake! Muda huu ilibidi paeleweke