Huwa anakuletea Pedi? Huwa anaruhusu Hasira zako Umalizie kwake? Huwa anakupa Dawa za kupunguza maumivu kwenye kipindi hiko? Anakua karibu na wew? Anakulete chakula unachotaka ukiwa Period? AU TUSIINGILIE MAHUSIANO YENU..!😀😀
Zamani ilikua ukimuacha Binti aliyekupa Mwili wake kwa Mara ya Kwanza, Basi huyo Binti Anajiua, ila Siku hizi, Ukimuacha Asubuhi tu, Jioni unamkuta Wavuvi Camp tena yuko Juu ya Meza Anapiga na Filimbi…!🤔
umempa mimba, Umemzalisha na kisha umemkimbia kwa kutegemea ataishi kwa Shida, Sikia wew boya, HII PISI TUTAIPENDA NA KUIHUDUMIA NA MTOTO WAKO TUNAMLIPIA ADA…SHUBAHAMMITT..!!
kwa siku ya Leo kama Ulinitumia Sms yoyote WhtsAp, Tafadhali naomba nitumie tena, Simu yangu ilikua na Shida leo kutwa Nzima..! NAOMBA RADHI KWA USUMBUFU HUU..!
Hivi unajua kwanini kabadilka? Sababu unaleta mazoea kwenye mapenzi, haupo kama zamani, Humvutii tena, anakuona wa kawaida, but usijali NIPO hapa kwa Ajili yako! Njoo TULIFUFUE PENZI LENU, KABLA HAWAJAPITA NAE..!
Khan hatengenezi Clip za Furaha tu, Kama huyo uliyekua nae amekua Jipu lisio sikia Dawa, Hebu Njoo kwanza nina Clip yake ya kumpa Makavu, wengine hawabadiliki bila maneno mazito! SHUBAHAMMITT