Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile
Kenny Mmari Snr.

@kennedymmari

Sworn Adversary of GroupThink | Memento Mori. Memento Viveri| 👉🏾Communication, Tech & Impact | 🖇️ @SerengetiBytes, @DigitalAwardsTZ

ID: 2309651022

linkhttps://cosoc.com/KennedyMmari calendar_today25-01-2014 08:28:36

8,8K Tweet

166,166K Followers

1,1K Following

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Why would Tanzania import electricity when we already can produce and export surplus? Ethiopia can export because of GERD, so why can't we export because of JNHPP, which is similar to Ethiopia's in terms of self-sufficiency?

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Jumla ya mahitaji yote ya umeme Tanzania hayafiki megawati 2,000 kwa sasa. Wakati umeme unasumbua sana ni kwasababu ya ubovu wa mitambo na uzalishaji mdogo. Kuna wakati tulikuwa tunazalisha megawati 900 sana, na kila tulipofikia megawati 1500 hali ya umeme ilikuwa nzuri.

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Tanzania may now be wealthier than Kenya, or the Kenyan economic bubble may have burst. Tanzania is investing in extensive infrastructure development, costing billions of dollars. The Kenyan government has stated that it lacks the $2 billion necessary to expand Jomo Kenyatta

Emmanuel Njavike (@emanjavike) 's Twitter Profile Photo

Happy to attend the 23rd African Real Estate Society Annual International Conference (AfRES 2024) started September 10, 2024, at the Radisson Blu hotel in Livingstone Zambia. Happy to be welcomed back. #MyDalali #RealEstate #AfRES #AfRES2024 #AfRES2024LivingstoneZambia

Happy to attend the 23rd African Real Estate Society Annual International Conference (AfRES 2024) started September 10, 2024, at the Radisson Blu hotel in Livingstone Zambia.

Happy to be welcomed back. 

#MyDalali #RealEstate #AfRES #AfRES2024 #AfRES2024LivingstoneZambia
Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

I believe we have not adequately assessed the implications of China's rise on small factories across the world. General Tyre was a joint venture between Tanzania and the Continental AG, an American company. The rise of China (affordable products) saw the factories across the

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Hapa TBS watampiga kila spana waliyonayo mkononi hadi aache kufanya hiki anachofanya (ingawa siyo ubunifu mpya sana). Hatowezeshwa huyu. Tusubiri.

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Mzungu amekunywa Azam Energy Drink akiwa DRC haamini macho yake. Azam Energy ni kinywaji maarufu sana kwenye baadhi ya nchi zinazozunguka Tanzania.

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Kwanini umeandika na kucheza muvi zote hizo ila hii muvi ya maisha yako bado hujaicheza? Kipande watu wanakitamani sana kwenye muvi ni milioni 600. Unaweza kuiita “The 600 Million Meltdown” au “From 600 Million, To Broke, to Billions: The Ultimate Comeback Story” Au siyo? 😂

Republic Of STANZA (@ikulustanza) 's Twitter Profile Photo

📍Peron,Stanza 📢TANGAZO KWA UMMA Nyaraka zetu zihusuzo Jamhuri ya watu Stanza zimehifadhiwa humu. Tangu wakati wa utawala wa mkono wa chuma wa Rais Sylvester Costa na kufuatiwa na wa Rais Habib Chamchua alietimuliwa Ikulu na "Wahuni" mpaka Rais Abubakar Bunende aliekatishwa

📍Peron,Stanza

📢TANGAZO KWA UMMA

Nyaraka zetu zihusuzo Jamhuri ya watu Stanza zimehifadhiwa humu.

Tangu wakati wa utawala wa mkono wa chuma wa Rais Sylvester Costa na kufuatiwa na wa Rais Habib Chamchua alietimuliwa Ikulu na "Wahuni" mpaka Rais Abubakar Bunende aliekatishwa
Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Ila wanasiasa ni waongo sana. Huu ujasiri wa Msigwa kuwasema wato alioshirikiana nao kuisema nchi yetu kwa miaka yote anautoa wapi? Si miezi michache tu alikuwa anasema nchi yetu ni mbaya?😀

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Kwenye vilabu vya Yanga na Simba, wanaojiita Wadhamini/Wawekezaji walishawahi kuwasilisha mahesabu kutuonesha kwa kujitangaza kupitia vilabu wamepata mapato na faida ya kiasi gani? Siku zote mahesabu yao hujikita kwenye kuonesha fedha wanazotoa na namna wanavyopata hasara. Vipi

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Ikitokea Afrika kuwa Polisi wanahoji na kukamata watu kwa posti wanazoweka kwenye mitandao, dunia nzima inalipuka kulaani. Lakini watu waliofungwa gerezani Marekani, Ulaya na Uingereza kwa posti za mitandaoni ni wengi kuliko waliofungwa China na Urusi.