
Mr Stan
@kapsjr
A servant of Jesus/Preacher/A student of Bible/A mass communicator
ID: 1164101090759053312
http://sirizabible.blogspot.com 21-08-2019 09:05:16
3,3K Tweet
306 Followers
204 Following




TANZANIA MPYA IMEZALIWA KUHANI ๐ฎ๐ฑ๐น๐ฟ Paschal Mover. Kila mtu atashuhudia wazi wazi Waebrania 10:38 [38]Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-sita, roho yangu haina furaha naye. Asikiaye na afahamu






Hivi kuna mtumishi mzuri wa kiroho anayeweza kusimama bila mentor au kujifunza kwa mtangulizi fulani ili awe bora na akafanikiwa kuwa bora ๐ค. Mimi sikuweza bila watangulizi niliyowaamini na kuchagua kujifunza kwao. Son of God KUHANI ๐ฎ๐ฑ๐น๐ฟ ๐๐๐ธโ๐ธ ๐๐ธ โ๐พ๐โ๐๐๐ Samson Ernest


Mr Stan Son of God ๐๐๐ธโ๐ธ ๐๐ธ โ๐พ๐โ๐๐๐ Samson Ernest Uko sahihi hasa kwenye huduma za kiroho ukisoma kitabu nafikir Mdo 15 Yale mabishano kwa Habari ya kutahiriwa lkin unaona Paul anenda kuuliza kwa waliotangulia kesi inakuwa solved safari ya kazi inaendelea

kashumba โ Mr Stan Son of God KUHANI ๐ฎ๐ฑ๐น๐ฟ ๐๐๐ธโ๐ธ ๐๐ธ โ๐พ๐โ๐๐๐ Kwa vyovyote vile lazima Mungu akupe mtu wa kukusaidia kuwa vizuri kwenye eneo alilokuitia. Huwezi kuwa wewe kama wewe, lazima pawepo mahali ambapo unanyonya maarifa sahihi na kuelekezwa namna ya kutembea.



Wakristo wa makanisa ya neema wana imani Uasherati na uzinzi hauzuii mtu kuiona mbingu ๐๐๐, wanasimamia Rumi 8:1. Kumbe mbingu ni rahisi sana KUHANI ๐ฎ๐ฑ๐น๐ฟ ๐๐ข๐๐ข๐จ๐ง ๐๐ฐ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ฌ๐ฒ๐ ๐๐๐ธโ๐ธ ๐๐ธ โ๐พ๐โ๐๐๐ ๐ฉ๐๐๐ ๐พ๐ ๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐ฎ๐ฑ|๐ท๐บ Otorael Wanasema kuomba toba na rehema ni utoto.
