Julius Jaji (@julius_jaji) 's Twitter Profile
Julius Jaji

@julius_jaji

@udsmofficial + @gujuni1949 Alumnae | Clinical psychologist at @mirembe_hosptz || katibu UVCCM UDSM 20/22

ID: 1342452674399268864

linkhttps://jaji.tusome.online calendar_today25-12-2020 12:50:52

29,29K Tweet

5,5K Followers

4,4K Following

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Duru zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Mstaafu ataenda kuungana na Vijana wake aliowatanguliza mbele kama watoto wa bata. Mliokaribu nae mwambieni akithubutu kwenda kuungana na hao vijana wake Watanzania watakuwa wanamuona kama Profesa Lipumba. Nafikiri bado ana heshima

Duru zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Mstaafu ataenda kuungana na Vijana wake aliowatanguliza mbele kama watoto wa bata.

Mliokaribu nae mwambieni akithubutu kwenda kuungana na hao vijana wake Watanzania watakuwa wanamuona kama Profesa Lipumba.

Nafikiri bado ana heshima
Africa CDC (@africacdc) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ด This week in Mogadishu, Africa CDC and Ministry of Health- Somalia are co-hosting a high-level workshop to shape the countryโ€™s first national strategy and operational plan for viral hepatitis control. As one of our first technical engagements in Somalia, the workshop brings together key

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ด This week in Mogadishu, <a href="/AfricaCDC/">Africa CDC</a> and <a href="/MoH_Somalia/">Ministry of Health- Somalia</a> are co-hosting a high-level workshop to shape the countryโ€™s first national strategy and operational plan for viral hepatitis control.

As one of our first technical engagements in Somalia, the workshop brings together key
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ”ฐIJUE ILANI Ilani ya CCM 2025-2030, CCM Kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha Biashara Mtandaoni kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kupitia Shirika la Posta Tanzania. #kazinaututunasongambele #oktobatunatikiโœ…โœ…

๐Ÿ”ฐIJUE ILANI 

Ilani ya CCM 2025-2030, CCM Kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha Biashara Mtandaoni kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kupitia Shirika la Posta Tanzania.

#kazinaututunasongambele 
#oktobatunatikiโœ…โœ…
One Health Society (@onehealth_tz) 's Twitter Profile Photo

On July 15, the One Health Society (OHS) had the privilege of joining Hon. Jim Yonaz (Permanent Secretary, Prime Ministerโ€™s Office โ€“ Policy, Parliament, and Coordination), Food and Agriculture Organization, Ciheb, and key stakeholders from various key line ministries for the launch of the One Health ECHO

On July 15, the One Health Society (OHS) had the privilege of joining Hon. Jim Yonaz (Permanent Secretary, Prime Ministerโ€™s Office โ€“ Policy, Parliament, and Coordination), <a href="/FAO/">Food and Agriculture Organization</a>, Ciheb, and key stakeholders from various key line ministries for the launch of the One Health ECHO
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Leo ni siku muhimu na ya kihistoria kwa nchi yetu ambapo tumehitimisha safari tuliyoianza miaka miwili iliyopita kwa kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, ikiwa ni mara ya pili kwa Taifa letu kufanya hivi tangu Uhuru. Dira hii ni maoni ya wananchi wote ambapo kwa miaka 25

Leo ni siku muhimu na ya kihistoria kwa nchi yetu ambapo tumehitimisha safari tuliyoianza miaka miwili iliyopita kwa kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, ikiwa ni mara ya pili kwa Taifa letu kufanya hivi tangu Uhuru. Dira hii ni maoni ya wananchi wote ambapo kwa miaka 25
Young Africans SC English (@youngafricansen) 's Twitter Profile Photo

We're delighted to announce the signing of Engineer ๐Œ๐Ž๐”๐’๐’๐€ ๐๐€๐‹๐‹๐€ ๐‚๐Ž๐๐“๐„ for 3 YEARS.๐Ÿ“‹โœ๏ธ #TheClubAboveAll #DaimaMbeleNyumaMwiko

We're delighted to announce the signing of Engineer ๐Œ๐Ž๐”๐’๐’๐€ ๐๐€๐‹๐‹๐€ ๐‚๐Ž๐๐“๐„  for 3 YEARS.๐Ÿ“‹โœ๏ธ

#TheClubAboveAll
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Mkwiro (@mkwiro132055) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia amekua akihimiza umoja na mshikamano wa kitaifa huku akifanya kila juhudi kupitia 4Rs' zilizowezesha kuunganisha watu ili kufanya kazi kwa pamoja. Amekua akitumia Diplomasia yake kuona Taifa lina mshikamano wa dhati ili kujenga upya na kuleta maendeleo. #Tanzania #SSH

Rais Samia amekua akihimiza umoja na mshikamano wa kitaifa huku akifanya kila juhudi kupitia  4Rs' zilizowezesha kuunganisha watu ili kufanya kazi kwa pamoja. Amekua akitumia Diplomasia yake kuona Taifa lina mshikamano wa dhati ili kujenga upya na kuleta maendeleo. #Tanzania #SSH
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Changamoto za afya ya akili nchini kwetu ni suala ambalo ni jipya na mapokeo ni tofauti na wengi wakilihusisha na imani za kishirikina Mdau Moyo wa TAIFA โ„ข๏ธ, Akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Xspace.

Changamoto za afya ya akili nchini kwetu ni suala ambalo ni jipya na mapokeo ni tofauti na wengi wakilihusisha na imani za kishirikina 

Mdau <a href="/bajabiri/">Moyo wa TAIFA โ„ข๏ธ</a>, Akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Xspace.
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Kuanzia ngazi ya familia zetu hadi kwenye jamii nzima tunapaswa kuwa na utaratibu wa kuzungumza juu ya changamoto ya afya ya akili ili watu wawe na uelewa na kupunguza athari zinazoweza kuwakabili. Mtafiti wa sayansi suma anniemarie, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Xspace.

Kuanzia ngazi ya familia zetu hadi kwenye jamii nzima tunapaswa kuwa na utaratibu wa kuzungumza juu ya changamoto ya afya ya akili ili watu wawe na uelewa na kupunguza athari zinazoweza kuwakabili.

Mtafiti wa sayansi <a href="/sumaMaumba/">suma anniemarie</a>, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Xspace.
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Kutokana na dhana hasi juu ya changamoto ya afya ya akili vijana wamekuwa wahanga, ni muhimu sasa jamii ibadilike na kulichukulia kwa uzito. Mdau Moyo wa TAIFA โ„ข๏ธ, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Xspace.

Kutokana na dhana hasi juu ya changamoto ya afya ya akili vijana wamekuwa wahanga, ni muhimu sasa jamii ibadilike na kulichukulia kwa uzito.

Mdau <a href="/bajabiri/">Moyo wa TAIFA โ„ข๏ธ</a>, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Xspace.
Julius Jaji (@julius_jaji) 's Twitter Profile Photo

I had the opportunity to provide community awareness on mental health and Psy. first aid for people experiencing mental health challenges and mental illnesses. It is our responsibility to protect our mental health and help when our colleagues are experiencing mental challenges.

I had the opportunity to provide community awareness on mental health and Psy. first aid for people experiencing mental health challenges and mental illnesses. It is our responsibility to protect our mental health and help when our colleagues are experiencing mental challenges.
Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc (@ridhiwankikwete) 's Twitter Profile Photo

#KumbukiziMuhimu Mwaka 1992 Umojq wa Vijana wa CCM waliita Harambee kwa ajili ya Kuchangia Usafiri wa Wanafunzi Mkoa wa Dsm. Nashukuru kwa kupewa nafasi ya kuchangia Usafiri Vijana wetu. Yaliyofuata ni sehemu ya Historia. Hii ni Kumbukumbu nzuri katika safari ya Maisha.

#KumbukiziMuhimu Mwaka 1992 Umojq wa Vijana wa CCM waliita Harambee kwa ajili ya Kuchangia Usafiri wa Wanafunzi Mkoa wa Dsm. Nashukuru kwa kupewa nafasi ya kuchangia Usafiri Vijana wetu. Yaliyofuata ni sehemu ya Historia. Hii ni Kumbukumbu nzuri katika safari ya Maisha.