Jooozey
@joseph02086822
HIP-HOP FAN,
Medical personnel,
Businessman🏁,
Tanzanian🌍,
Facebook Joseph paramon.
ID: 1064460054760427521
19-11-2018 10:07:08
133 Tweet
20 Takipçi
73 Takip Edilen
👉Miongoni mwetu wapo waliotangulia kufika, kuchelewa kwetu ni kutangulia kusita,Ni wazi ukiendekeza watu utaambulia kutishwa, Tusipofanya kazi njaa itatushambulia kukichaa.. Stereo Singasinga
👉Iambie Dunia niliishi kutokana na mazingira, nilieshimu makabira sikuchokoza wenye hasira, Iambie Dunia Kila alieumia nilimwambia POLE nilihisi kumwambia SORRY Haina mashiko kihisia. Mtu Mfupi Mistari Mirefu
👉I will lift my eyes to where my help comes from,and I won't be afraid of the shadow cause I've seen the sun, No I'll not stop, when the way gets hard cause the green only grows in the valley and that's where you are... I SHALL NOT WANT. Elevation Worship
👉Life is when things happens so let it be, we learn how to behave from the same shit,ninajua hizo struggle for revolution and I knew it was a time for change so I CHANGE ME. ⚖️ Dizasta Vina
👉Ata aliyetengeneza gari alikufaga Kwa ajali.... Uwoga wa kuanguka ndo unafanya watu watembee pole pole... Falsafa Baba!
👉Wakiweka milima Mimi naigeuza vitonga, ata nusu hatua ni hatua mdogo mdogo nikawa nasonga, japo ni Kwa mwendo wa kinyonga,Mbegu ili kuchipua lazima ioze kwanza mjomba. #KitaaREJEX OUT NOW..!!!
👉Sihaidi kuwa baba mkamilifu,napambana japo mi Ganda la udhaifu, Amani gharama usijiingize kwenye beef,kosea ujifunze ili usiigize utakatifu. 👉Pesa sabuni zitafute Kila siku, ukipata usikate watu mwenye Fedha ndo ana kisu. Dizasta Vina
Ukijitazama kwenye kioo ukachukia unachokiona utakilaumu kioo au utafurahia kujisoma?? #KitaaREJEX OUT NOW..!!! #JICHO.