The Champ🥇 (@jordanjoseph24) 's Twitter Profile
The Champ🥇

@jordanjoseph24

Electrical Solutions

ID: 1427378670084268055

calendar_today16-08-2021 21:16:29

5,5K Tweet

2,2K Takipçi

2,2K Takip Edilen

MeaMswahili (@meamswahili) 's Twitter Profile Photo

⛔️𝐓𝐑𝐄𝐍𝐃𝐈𝐍𝐆...! Huyu Hapa Capten wa Kudumu wa Timu ya CloudsFM, Mbwiguke Mbwiga na Vituko Vyake Baada ya Kunyimwa Namba ya Kuingia Uwanjani..!😃😃 #VisitMOSHI🇹🇿

James Munisi (@njiwaflow) 's Twitter Profile Photo

#UZI 💨Hizi ndizo website 10 hatari zaidi duniani ambazo hupaswi kuzitembelea waliojaribu na madhara yaliyowapata ! Shuka na uzi 🧵👇

#UZI

💨Hizi ndizo website 10 hatari zaidi duniani ambazo hupaswi kuzitembelea waliojaribu na
 madhara yaliyowapata !

Shuka na uzi
🧵👇
Jay ES⚡ (@jay_electrician) 's Twitter Profile Photo

Siku ya leo ikawe njema kwenye utafutaji wetu, Mungu atusaidie vipato vyetu viimarike na atunusuru na majanga, turejee nyumbani tukiwa na tabasamu 🤲 Usisite kunipigia simu pale unapohitaji fundi umeme kwa ajili ya jengo lako, nipo Mwanza. Call 0714361234/0748761234 #MkonoWaJay

Siku ya leo ikawe njema kwenye utafutaji wetu, Mungu atusaidie vipato vyetu viimarike na atunusuru na majanga, turejee nyumbani tukiwa na tabasamu 🤲

Usisite kunipigia simu pale unapohitaji fundi umeme kwa ajili ya jengo lako, nipo Mwanza.

Call 0714361234/0748761234
#MkonoWaJay
Jay ES⚡ (@jay_electrician) 's Twitter Profile Photo

Siku ya leo ikawe njema kwenye utafutaji wetu, Mungu atusaidie vipato vyetu viimarike na atunusuru na majanga, turejee nyumbani tukiwa na tabasamu 🤲 Usisite kunipigia simu pale unapohitaji fundi umeme kwa ajili ya jengo lako, nipo Mwanza. Call 0714361234/0748761234 #MkonoWaJay

Siku ya leo ikawe njema kwenye utafutaji wetu, Mungu atusaidie vipato vyetu viimarike na atunusuru na majanga, turejee nyumbani tukiwa na tabasamu 🤲

Usisite kunipigia simu pale unapohitaji fundi umeme kwa ajili ya jengo lako, nipo Mwanza.

Call 0714361234/0748761234
#MkonoWaJay
TheProtégéTZ (@giboretz) 's Twitter Profile Photo

MAENEO HATARI ZAIDI AMBAYO BINADAMU WANAISHI Kutoka makazi yaliyopo juu ya ukanda sawa na kilele cha mt. Kilimanjaro hadi mji ambao jua linazama mwezi November halichomozi tena mpaka mwezi January. Haya ni maeneo 10 ya kutisha ambayo binadamu wanaishi🧵

MAENEO HATARI ZAIDI AMBAYO BINADAMU WANAISHI

Kutoka makazi yaliyopo juu ya ukanda sawa na kilele cha mt. Kilimanjaro hadi mji ambao jua linazama mwezi November halichomozi tena mpaka mwezi January. 

Haya ni maeneo 10 ya kutisha ambayo binadamu wanaishi🧵
Kabigwa_Afya💊 (@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

1. Kunywa Maji Mengi, 1-2 Litres kila siku! 2. Fanya Mazoezi ya Kutosha! 3. Kula Vizuri, Vaa Vizuri, Nukia. 4. Usijipe Umuhimu Kwenye Maisha ya Watu! RUDIA. Good Morning 𝕏