J O H N (@johnjohn____) 's Twitter Profile
J O H N

@johnjohn____

High Value Packages.

ID: 3053304593

calendar_today22-02-2015 17:42:24

5,5K Tweet

1,1K Followers

921 Following

J O H N (@johnjohn____) 's Twitter Profile Photo

"Assessment of data (bando) usage per one click, a case study of Dar es Salaam people using Vodacom and Tigo networks" madini zaidi, karibu.

J O H N (@johnjohn____) 's Twitter Profile Photo

Kuna uwezekano ilifika mahali jigga akawa tishio, inawezekana pia wapo walioweka M's za kigeni nyingi kumnunua mfanyakazi wa Bird App aachie infors za Jigga. Pia inawezekana jamaa anahitaji sara ya Wafu. Inafikirisha sana

J O H N (@johnjohn____) 's Twitter Profile Photo

Tuungane pamoja na FOCAYO ORGANIZATION kuhakikisha binti anakuwa kwenye mazingira anapofikia wakati wa hedhi! #NinamjaliBinti

Tuungane pamoja na FOCAYO ORGANIZATION kuhakikisha binti anakuwa kwenye mazingira anapofikia wakati wa hedhi! 

#NinamjaliBinti
J O H N (@johnjohn____) 's Twitter Profile Photo

Kwa mzigo mwingi zaidi unamcheki Charity Flora✨ Naomba RT ifikie wengi zaidi Chauro Bado Zipo Ukichukua Kuanzia Tatu Delivery Ni Free Bei Ni Ile Ile Ya 5000/ Tuu! Contact: 0656746028 📍Mbezi Africana #Chauro #SokoLetu #NipeDili

Kwa mzigo mwingi zaidi unamcheki <a href="/CharityFlora1/">Charity Flora✨</a>

Naomba RT ifikie wengi zaidi 

Chauro Bado Zipo Ukichukua Kuanzia Tatu Delivery Ni Free

Bei Ni Ile Ile Ya 5000/ Tuu!

Contact: 0656746028

📍Mbezi Africana

#Chauro #SokoLetu #NipeDili
J O H N (@johnjohn____) 's Twitter Profile Photo

I suggest mzazi ajiwekeze labda aweke hekari 10-20 za miti ya mitiki. A make sure ardhi anapima Dogo akikua miti itakuwa iko kimo sana, hopefully ataweza pata pesa za kusomesha na aka win io dream not only Kwa dogo but mzazi pia anakuwa amefanikisha jambo ameanza fanya Sasa.

Nai🤍 (@naikonje) 's Twitter Profile Photo

Good Morning my people Naomba retweet🙏 Tunauza HIGH QUALITY Tshirts Size zote zipo Price 20,000 Karibuni🔥 Dm or Call 0742-294049

Good Morning my people
Naomba  retweet🙏
Tunauza HIGH QUALITY Tshirts
Size zote zipo
Price 20,000
Karibuni🔥

Dm or Call 0742-294049
Nai🤍 (@naikonje) 's Twitter Profile Photo

Hey My beautiful people Size : M,L, XL,2XL Price 22K Dm or Call 0742294049 LIPA NAMBA 37780035-NAIKONJE Karibuni sana🔥🔥 Naomba retweet

Hey My beautiful people
Size : M,L, XL,2XL
Price 22K
Dm or Call 0742294049
LIPA NAMBA 37780035-NAIKONJE
Karibuni sana🔥🔥
Naomba retweet
Nai🤍 (@naikonje) 's Twitter Profile Photo

Hey My beautiful people, Size : M-2XL Price 25K Dm(Kwa option nyingi zaidi) or Call 0742294049 LIPA NAMBA 37780035-NAIKONJE Karibuni sana🔥🔥 Naomba retweet

Hey My beautiful people, 
Size : M-2XL
Price 25K 
Dm(Kwa option nyingi zaidi) or Call 0742294049
LIPA NAMBA 37780035-NAIKONJE
Karibuni sana🔥🔥
Naomba retweet
MpembA (@iammpemba) 's Twitter Profile Photo

Wiki kadhaa kabla ya Spika wa Bunge kuachia ngazi kulitokea drama za kutosha baina ya mihimili miwili Mmoja akiamka anasema hili mwingine anasema lile Nimekusogezea mkanda mzima Video Thread

Wiki kadhaa kabla ya Spika wa Bunge kuachia ngazi kulitokea drama za kutosha baina ya mihimili miwili 
      Mmoja akiamka anasema hili mwingine anasema lile

Nimekusogezea mkanda mzima
Video Thread