
Joel Msuya
@joelymsuya
Mjumbe wa Baraza Kuu CHADEMA taifa || Katibu wa BAVICHA mkoa wa ILALA || Activist & Human Right Defender || Politician || Raisi wa Tanzania 2055
ID: 1535982231424057344
12-06-2022 13:48:12
122,122K Tweet
10,10K Followers
1,1K Following












Wananchi wakiimba nyimbo za #NoReformsNoElection wakati Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu alipokuwa akiondolewa na msafara wa askari magereza katika viunga vya mahakama mara baada ya kesi yake kuhairishwa mpaka tarehe 18-08-2025. #FreeTunduLissu






