Jerome Kayanda (@jerome_kayanda1) 's Twitter Profile
Jerome Kayanda

@jerome_kayanda1

ID: 1603724656095158273

calendar_today16-12-2022 12:12:34

1,1K Tweet

370 Takipรงi

4,4K Takip Edilen

Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

Behind the scenes. ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ‘€ Simba leaders werenโ€™t happy after they saw that the match officials had a guest in their room. African football. #CAFCCwithMicky #AfricanFootball

Futbal Planet โœด๏ธ (@planetfutbal) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšจ ๐—ข๐—™๐—™๐—œ๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ: YANGA YATOA MASHARTI YAO ILI WACHEZE DERBY..!! Klabu ya Yanga imemtaka Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao ajiuzulu, CEO wa Bodi ya Ligi TPLB, Almasi Kasongo ajiuzulu, Yanga pia imetaka Bodi ya uendeshaji wa ligi ivunjwe na Bodi ya Ligi TPLB iwe huru.

๐Ÿšจ ๐—ข๐—™๐—™๐—œ๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ: YANGA YATOA MASHARTI YAO ILI WACHEZE DERBY..!!

Klabu ya Yanga imemtaka Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao ajiuzulu, CEO wa Bodi ya Ligi TPLB, Almasi Kasongo ajiuzulu, Yanga pia imetaka Bodi ya uendeshaji wa ligi ivunjwe na Bodi ya Ligi TPLB iwe huru.
Ki Messi Mweusi ๐Ÿ (@1960remija) 's Twitter Profile Photo

Mlinitukana niliposema Msimbazi kunawaka moto, vikao havijasaidia kupata suluhu na sasa wameanza kupeana matusi mazito hadharani. Huyu jamaa anajikutaga ni James Bond wa mpira wa Tanzania. Shida sio kanuni wala meneja. Watu wanaogopa kikosi cha Yanga. Nimelia mimi leo. ๐Ÿ˜‚๐Ÿฅน๐Ÿฅฒ

Eddo Lalika (@eddolalika) 's Twitter Profile Photo

Huyu jamaa amefanya jambo la busara sana ambalo limemuepushia matatizo chungu mzima. Sasa kama yupo serious anitafute tumu sue huyo dada kisawasawa Hadi apoteze chuo na huwezo huo ninao.

FELIX JASON (@iamfelixtz) 's Twitter Profile Photo

Hivi ndivyo kikosi cha Yanga kilivyoingia Benjamin Mkapa kwaajili ya mazoezi ya mwisho kwaajili ya mechi ya kesho dhidi ya Simba Sc #NBCPL

Prisca Kishamba (@pkishamba) 's Twitter Profile Photo

Kilicho muondoa Ngoma Simba SC, kuongoza migomo kwa wachezaji wenzake dhidi ya Uongozi ya malimbikizo ya Bonus na mishahara hasa kuelekea mechi kubwa V Berkane Zanzibar V Yanga kwa Mkapa Kitendo hicho kilichukukuliwa kama utovu wa nidhamu na kukosa mapenzi na timu.

Kilicho muondoa Ngoma Simba SC, kuongoza migomo kwa wachezaji wenzake dhidi ya Uongozi ya malimbikizo ya Bonus na mishahara hasa kuelekea mechi kubwa 

V Berkane Zanzibar 
V Yanga kwa Mkapa 

Kitendo hicho kilichukukuliwa kama utovu wa nidhamu na kukosa mapenzi na timu.
Ki Messi Mweusi ๐Ÿ (@1960remija) 's Twitter Profile Photo

Mwizi aliyeiba vifaa vya timu ya media siku ya paredi pale Yanga ni huyu hapa. Tafadhali sambaza ujumbe huu kama kuna wanao mfahamu watupatie taarifa au wa ripoti kituo cha Polisi. RT. ๐Ÿ“Œ

Mwizi aliyeiba vifaa vya timu ya media siku ya paredi pale Yanga ni huyu hapa. Tafadhali sambaza ujumbe huu kama kuna wanao mfahamu watupatie taarifa au wa ripoti kituo cha Polisi. 

RT. ๐Ÿ“Œ
Young Africans SC (@youngafricanssc) 's Twitter Profile Photo

๐˜๐”๐Š๐Ž ๐–๐€๐๐ˆ ๐Š๐€๐๐“๐„๐๐ˆ? #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko